Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee nomaHii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
Mangi naye anapiga vyombo?Ah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm nko kwa mangi tna hapa kna vinywaji vyote
Ova
View attachment 910705
Mangi anastuka tu jna alipoteza ikabidi tumsaidie mauzo[emoji23] [emoji23]Mangi naye anapiga vyombo?
Mwenyekiti Mshana atammudu tu atamtuliza na teknolojia yke
Ova
Oiiiii OiiiiiLipa kodi kwa maendeleo ya Taifa! Code inasoma Hapa ubungo kibangu,njia panda ya jeshini na kwa Mzee wa Upako! Pub inaitwa kwa Manka! Oiii
Kuna karioki leo....mm ntakua pachotoNgoja nichome Papichulo nkalipe kodi, uzuri wa pale kuna mboga nyingi naeza fanya wealth distribution
Msalimie masai hapo na lidemu lenye mkund.u lile lihudumu, sema nahisi mwenye baa anatafuna huyoKuna karioki leo....mm ntakua pachoto
Ila hpo papuchulo ukifika msalimie mgagula fundikira [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpo Nna Kimeo na baunsa mmoja ntakuja soo likipoaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msalimie masai hapo na lidemu lenye mkund.u lile lihudumu, sema nahisi mwenye baa anatafuna huyo