Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
Wee noma
 
Wadou kwema bandugu?.
Huku kumekucha na kimvua hiki?.
Karibuni sana.
15405514853271250250856.jpg
 
Ngoja nichome Papichulo nkalipe kodi, uzuri wa pale kuna mboga nyingi naeza fanya wealth distribution
Kuna karioki leo....mm ntakua pachoto
Ila hpo papuchulo ukifika msalimie mgagula fundikira [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpo Nna Kimeo na baunsa mmoja ntakuja soo likipoaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Kuna karioki leo....mm ntakua pachoto
Ila hpo papuchulo ukifika msalimie mgagula fundikira [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpo Nna Kimeo na baunsa mmoja ntakuja soo likipoaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Msalimie masai hapo na lidemu lenye mkund.u lile lihudumu, sema nahisi mwenye baa anatafuna huyo
 
Msalimie masai hapo na lidemu lenye mkund.u lile lihudumu, sema nahisi mwenye baa anatafuna huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndomana mwenye bar anatoaga mimacho kama kabanwa na mlango
Kweli ana nnyaaa balaaaa yule mhudumu

Ova
 
Back
Top Bottom