Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mambo mrembo
Bombadierrrrrrr ndani ya sherehe vinywaji tna vi import kwenye Meza ya wajanja

Ova
20181110_233635.jpg
 
Ebwana eeeh chimbo la mazoezi hilo,ila wengi wameenda Dodoma nadhani ,unakula bia huku unapata upepo wa bahari
Ah kna kisherehe tumezamia[emoji23] [emoji23]
Tumekaribishwa ila pombe bia Heineken na windhoek Inabdi tujisevie humu

Ova
 
Ngj mzee baba alegeze kamba ntakuibukia hko hko nkiwa na kazi

Ova
Hahahaha, eti Mzee Baba alegeze kamba ,kwani kakaza sana eeh? Lkn naona vijana wanakula bata km kawa

Huku karibu sana mpwa ,bata za huku mixer na wapopo/wasenegal na point 5 za kibelgium
 
Hahahaha, eti Mzee Baba alegeze kamba ,kwani kakaza sana eeh? Lkn naona vijana wanakula bata km kawa

Huku karibu sana mpwa ,bata za huku mixer na wapopo/wasenegal na point 5 za kibelgium
Si si wabishi kitamboooo mzee baba hatuwezi
Wngine sisi makambale

Ova
 
Back
Top Bottom