Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliitwa kwa jina la Thomas, Ni moja ya wafuasi wa Yesu ambae hakutaka kuamini bila ithibati ufufuko wa Yesu. View attachment 1795417
Mkuu, hizi picha umezipata vipi?Kwa jina Maria Magdalena mwanafunzi mwanamke maarufu wa bwana Yesu View attachment 1795424
Kinara wa BOKO HARAMHuyu ndie bwana Mkubwa anaeketa shida sana happy Nigeria kwa jina la abubakar shekauView attachment 1795420
Kuchorwa na wataalam tu mkuuMkuu, hizi picha umezipata vipi?
Hao waliishi miaka zaidi ya 2,000 iliyopita, wakati ambapo hakukuwa na kamera
Imekaa Njema Sana Mkuu.
Waziri mkuu huyu pia aliuliwa na bodygurd wake!!!!Indira Gandhi mwana mke wa kwanza kuwa kiongozi mkuu wa india.
Kiongozi wa kwanza wa india alikua Ni Mahatma Gandhi.
Huyu mama hakuwa mwane mzee Gandhi, Bali aliolewa na mtu Alie kuwa karibu Sana na Mahatma Gandhi, ambae hakuwa na nasaba na Mahatma Gandhi. View attachment 1795445
Swadakta umenikumbusha jambo adhiimu mnoWaziri mkuu huyu pia aliuliwa na bodygurd wake!!!!
Hivi ule usemi "Utakiona cha mtemakuni" ilitokana na huyu?Mtemakuni
View attachment 1795429
Haaaahaaaaaaa yaani ndugu unaamini huyu ndie muasisi wa mtemakuni?Hivi ule usemi "Utakiona cha mtemakuni" ilitokana na huyu?
Huyu jamaa alikuwa ni nani?
Alifanya nini hadi jina lake likawa methali?
Tumsubiri Kim Dawizzy kwanza aje afafanue... Au kwani wewe una unalolifahamu kuhusu Mtemakuni?Haaaahaaaaaaa yaani ndugu unaamini huyu ndie muasisi wa mtemakuni?