Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Wee, huyo ndiye mtemakuni, kwani iko nn, Ishaisha iyo! 🤣Tumsubiri Kim Dawizzy kwanza aje afafanue... Au kwani wewe una unalolifahamu kuhusu Mtemakuni?
KARIBU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee, huyo ndiye mtemakuni, kwani iko nn, Ishaisha iyo! 🤣Tumsubiri Kim Dawizzy kwanza aje afafanue... Au kwani wewe una unalolifahamu kuhusu Mtemakuni?
KARIBU!
Dah! Huyu mama nilikuwa namkubali sana..Benazir Bhutto alikua kiongozi pekee mwanamke nchini Pakistan.
Ni mtoto wa aliekua kiongozi wa Pakistan miaka ya 77, aliepinduliwa na kuuwawa.
Binti yake huyo alifanikiwa kuwa waziri mkuu kwa vipindi 2 na kulipotokea sintofahamu alikwenda kuishi uhamishoni.
Alikua kurejea nchini mwake kwa lengo la kuchaguliwa Tena kuwa kiongozi, ingawa wengi walimsihi asirudi kutokana na hatari iliokua inamkabili lakini hakutilia maanani hasaha hizo.
2007 aliuwa kwa kupigwa risasi 2 na bomu juu ! Kufa kwake kuliambatana na watu 30.
Ni moja ya mtu alienivutia Sana na kifo chake kiliniuma mno.
kuwa kiongozi mwanamke kwenye nchi zenye misimamo mikali ya kidini na ambayo mwanamke kwao hapaswa kuongoza ni kosa ni changamoto Sana. View attachment 1795487
Wangari MaathaiWangarĩ Muta Maathai, a Kenyan Environmentalist, is the first African woman to win the Nobel Peace Prize, also the first woman in East and Central Africa to become a Doctor of Philosophy from UoN.
View attachment 1795568
I love this woman🥰
Waziri mkuu huyu pia aliuliwa na bodygurd wake!!!!
One of the Legendary rappers, Makaveli ✊🏿View attachment 1795679
Moja ya watu weusi ambao wali waprove wazungu wrong kua watu weusi ni vilaza
Uzi bora kabisa.
Nasubiri picha Cleopatra ambaye inasemekana alikuwa the most woman ever.
na Eva a.k.a HawaHivi kati ya cleopatra,Delilah na Malkia wa sheba nani alikuwa mlimbwende zaidi
@Wangari MaathaiWangarĩ Muta Maathai, a Kenyan Environmentalist, is the first African woman to win the Nobel Peace Prize, also the first woman in East and Central Africa to become a Doctor of Philosophy from UoN.
View attachment 1795568
Makaveli in this... Killuminati, all through your bodyView attachment 1795679
Moja ya watu weusi ambao wali waprove wazungu wrong kua watu weusi ni vilaza