Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
- Thread starter
- #61
Mehmet Ali agca raia wa uturuki Alie kua na kusudia la kumuua kiongozi wa kanisa katoliki dunia pope John 2.
Ingawa Papa aliweza kumsamehe na mahakama pia ilimuachia huru kutoka kifungo Cha maisha, Ila haijajulikana haswa Ni kwa sababu gani alikua na kusudi lile au Ni Nani Alie mtuma!
Ingawa Papa aliweza kumsamehe na mahakama pia ilimuachia huru kutoka kifungo Cha maisha, Ila haijajulikana haswa Ni kwa sababu gani alikua na kusudi lile au Ni Nani Alie mtuma!