Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Charles Robert Darwin (12 February 1809 – 19 April 1882) was an English naturalist, geologist and biologist, best known for his contributions to the science of evolution. Also the author of "The Voyage of the Beagle" , "On the Origin of Species" & "The Descent of Man".
View attachment 1797080

Huyu mzee utofauti wake na Kinjekitile Ngwale ni mdogo sana [emoji23][emoji23]
 
Nipo naangalia series ya Narcos inayohusu maisha ya Pablo Escobar, japo alikua muhalifu ila hua namuAdmire sana. Moja ya kitu alichonifurahisha ni kupiga hii picha mbele ya ikulu ya marekani akiwa na mwanae wakati huo anatafutwa balaa. Hakuishia hapo aliipeleka familia yake kwenye kituo cha Disneyland marekani kula bata
View attachment 1797542
Narcos Mexico mkuu???
 
Malcolm X, jina la kuzaliwa Malcolm Little, jina baada ya kuslim el-Hajj Malik el-Shabazz, alizaliwa May 19, 1925 na kuuwawa February 21, 1965.

Alikuwa mwanaharakati wa haki za binadamu hasa haki za watu weusi nchini Marekani.

Inasemekana aliuwawa na FBI wakishirikiana na kitengo cha police jijini New York (NYPD). Hii ni kwa maelezo ya afisa wa zamani wa NYPD alieandikia barua familia ya Malcolm X akiwa mahututi kutubu dhambi ya kushiriki katika kupanga mauaji hayo.

images (14).jpeg
 
Buddha (jina la kuzaliwa Siddhartha Gautama), alikuwa mwalimu, mwanafalsafa na kiongozi wa kiroho ambaye ndiye mwanzilishi wa imani/dini ya Buddhism. Alizaliwa nchini India.

Jina Buddha maana yake ni "mtu alieye funuliwa" kwa Kiingereza "the enlightened one or the awakened one".

Ijulikane kuwa Buddha alikuwa binadamu kama wengine na wala hakuwa 'mungu'.

images (15).jpeg
 
During their medal ceremony in the Olympic Stadium in Mexico City on October 16, 1968, two African-American athletes, Tommie Smith and John Carlos, each raised a black-gloved fist during the playing of the US national anthem
John_Carlos,_Tommie_Smith,_Peter_Norman_1968cr.jpg


2008
gettyimages-81958771-612x612.jpg
 
Haile Gebrselassie 1973 huyu jamaa ni kutoka Ethiopia
Alikuwa mkimbiaji wa mbio ndefu
Alishinda medali mbili za dhahabu za Olympic. 10,000 meters

Alishinda world championship
Berlin marathon akashinda mfululizo mara nne
Na Dubai marathon alishinda mara 3

IMG_1126.jpg
 
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6

Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani kote
000_1GW5L2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6

Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276

Sent using Jamii Forums mobile app
😔😔😔
 
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6

Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika huyu mzee atakumbukwa kwa mengi haswa kwenye utumishi wa umma alio hudumu kwa kipindi chote.

Kila alipokua kwenye nafasi fulani huko aliacha alama ya mfano, mtu mwenye udhubutu na maono ya mbali asie kubali kushindwa katika kile alichoona kinawezekana.

Ni bahati mbaya kidogo katika nafasi ya urais alipata doa ! Labda kwa vile hio kazi ya urais sio ndogo na inajumuisha mambo mengi hivyo mengine yalimwangusha Kama yalivyotokea kwa wengine.
Au labda alidhani namna ya kuongoza katika nafasi fulani Kama wizara Ni sawa na kuongoza katika urais hii ikapelekea kupata matokeo hafifu.

Sio wote walioweza kuona mwenendo wake ule wa uongozi kwamba ulikua unaelekea kubaya, Bali wengi waliona yupo sawa na no Bora kuliko wengi!

Mpaka anafariki ukweli ulikua unabaki kwamba angetuacha vibaya Kama taifa kipindi ambacho angetoka madarakani, lakini inabaki kua alikua Ni rais mwenye mema yake mengi Sana lakini katika mema mengi yale kulikuako na mwambato wa ubaya, kuliko pelekea kuonekana Ni mbaya moja kwa moja kwa walio wengi.


Mungu amjalie kuupata uzima wa milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfalme sulemani anajulikana kama baba wa hekima. Hapo akiwa na malkia wa sheba aliyejulikana kwa jina la makeda.

Malkia wa sheba au makeda alionana na baba wa hekima miaka3000 iliyopita.

Mfalme suleman alifahamika kuwa ni baba wa hekima hasa alipoamua kesi iliyopelekwa mbele yake ya wanawake wawili waliokuwa kila mmoja na mtoto wake wa kiume na walikuwa wanafanana sana.View attachment 1796850
Baharia alikuwa na wake 700 na makonkyubaini 300. Yaani mpaka alimzidi babake (Mfalme Daudi) ubaharia [emoji16][emoji16]
 
Hakika huyu mzee atakumbukwa kwa mengi haswa kwenye utumishi wa umma alio hudumu kwa kipindi chote.

Kila alipokua kwenye nafasi fulani huko aliacha alama ya mfano, mtu mwenye udhubutu na maono ya mbali asie kubali kushindwa katika kile alichoona kinawezekana.

Ni bahati mbaya kidogo katika nafasi ya urais alipata doa ! Labda kwa vile hio kazi ya urais sio ndogo na inajumuisha mambo mengi hivyo mengine yalimwangusha Kama yalivyotokea kwa wengine.
Au labda alidhani namna ya kuongoza katika nafasi fulani Kama wizara Ni sawa na kuongoza katika urais hii ikapelekea kupata matokeo hafifu.

Sio wote walioweza kuona mwenendo wake ule wa uongozi kwamba ulikua unaelekea kubaya, Bali wengi waliona yupo sawa na no Bora kuliko wengi!

Mpaka anafariki ukweli ulikua unabaki kwamba angetuacha vibaya Kama taifa kipindi ambacho angetoka madarakani, lakini inabaki kua alikua Ni rais mwenye mema yake mengi Sana lakini katika mema mengi yale kulikuako na mwambato wa ubaya, kuliko pelekea kuonekana Ni mbaya moja kwa moja kwa walio wengi.


Mungu amjalie kuupata uzima wa milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ujumbe wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6

Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276

Sent using Jamii Forums mobile app
Ydown.png
 
Back
Top Bottom