Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Yuko wapi Gamel Abdel Nasser wa Misri, Tito?.Yule Mmisri Katibu Mkuu wa UN, Koffi Annan nae wa UN, Mtanzania aliyekua Katubu Mkuu wa OAU kabla ya kuitwa AU Dr Salim A Salum, Naibu Katibu Mkuu wa UN Dr. Rose Migiro, Mama Mongella, Bibi Titi, Brigedia Hashim Mbita, Bibi Tax, Abdul Aziz Rantisye, Yasser Arrafat, Kwame Nkurumah, Patrice Lumumba, Sheikh Mazinge, Dossa Aziz, Mengtsu Haile Mariam, Nelson Mandela, Edwardo Mondlane, Michael Gorbachel, Putin, Mao Zedong, Kenneth Kaunda, Notorius B.I .G, Mkwawa, Kinjikitile Ngwale, David Wakati, Nangwanda Sijaona, Abdul Ngalawa, Tiddo D Mhando, Mustafa Sabodo nk nk nk.
Mzee Lawi Nangwanda Sijaona.

Mpigania uhuru, aliwahi kuwa pia diwani, aliwahi kua mbunge, aliwahi kuwa waziri, aliwahi kuwa mkuu was mikoa kadhaa.

Kutoka kusini mwa nchi yetu mkoa wa lindi, Ni vile tu historia yetu huko shuleni ni ya kuungwa ungwa tu, labda Kama lile agizo la aliekua rais magufuli la uanzishwaji wa somo la historia ya Tanzania litazingatiwa watu Kama Hawa wataweza kujulikana.
DIk_PACXgAEa5Qa.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
William Shakespeare ni Mwingereza aliyekuwa mwandishi wa michezo ya kuigiza (playwright), mshairi (poet) , na mwigizaji.

Shakespeare anachukuliwa kuwa ndiye mwandishi wa kazi za sanaa nguli kuliko wote kuwahi kutokea katika lugha ya Kiingereza na duniani kwa ujumla.

Kati ya kazi zake maarufu kwa zaidi ya miaka 400 iliyopita ni Romeo and Juliet, Hamlet na Macbeth.
images (16).jpeg
 
images (18).jpeg

Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni ajulikanae kirahisi Michelangelo, alikuwa Muitaliano mtaalamu wa kuchonga sanamu, mchoraji wa picha, mbunifu wa majengo na mshairi.

Ndie binadamu wa kwanza kuwa na kitabu kinachohusu historia ya maisha yake alichokiandika mwenyewe (autobiography).

Anachukuliwa kuwa ni mmojawapo wa watu wenye mchango mkubwa katika sanaa ya uchoraji, ubunifu majengo na uchongaji wa sanamu duniani.

Baadhi ya kazi zake.

The-Last-Judgment.jpg

Michelangelo, The Last Judgment, Sistine Chapel, Vatican City, 1536-1541

David.jpg

Michelangelo, David, Galleria dell’Accademia, Florence, 1501-1504

Bacchus.jpg

Michelangelo, Bacchus, Museo Nazionale del Bargello, Florence, 1496-1497
The-Torment-of-Saint-Anthony.jpg

Michelangelo, The Torment of Saint Anthony

St Peter's Basilica Dome Michelangelo.jpg

St. Peter's Basillica. Hapa ndio makao makuu ya kanisa Katoliki.

Laurentian Library Michelangelo.jpg

Laurentian Library.
 
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6

Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
William Shakespeare ni Mwingereza aliyekuwa mwandishi wa michezo ya kuigiza (playwright), mshairi (poet) , na mwigizaji.

Shakespeare anachukuliwa kuwa ndiye mwandishi wa kazi za sanaa nguli kuliko wote kuwahi kutokea katika lugha ya Kiingereza na duniani kwa ujumla.

Kati ya kazi zake maarufu kwa zaidi ya miaka 400 iliyopita ni Romeo and Juliet, Hamlet na Macbeth.
View attachment 1798481
Merchant of Venice
 
Baharia alikuwa na wake 700 na makonkyubaini 300. Yaani mpaka alimzidi babake (Mfalme Daudi) ubaharia [emoji16][emoji16]
Hapo lazma ma Ben10 walimgongea sana!... 😂 😂 😂 😂 Ata useme utakwala kila mmoja siku yake hao wote 1000, ni miaka 1k hio ambayo haiwezekani so kuchapiwa alichapiwa. That's a fact sio lazma ukuwe discovered! 🤣 🤣 🤣
 
View attachment 1798495
Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni ajulikanae kirahisi Michelangelo, alikuwa Muitaliano mtaalamu wa kuchonga sanamu, mchoraji wa picha, mbunifu wa majengo na mshairi.

Ndie binadamu wa kwanza kuwa na kitabu kinachohusu historia ya maisha yake alichokiandika mwenyewe (autobiography).

Anachukuliwa kuwa ni mmojawapo wa watu wenye mchango mkubwa katika sanaa ya uchoraji, ubunifu majengo na uchongaji wa sanamu duniani.

Baadhi ya kazi zake.

View attachment 1798497
Michelangelo, The Last Judgment, Sistine Chapel, Vatican City, 1536-1541

View attachment 1798498
Michelangelo, David, Galleria dell’Accademia, Florence, 1501-1504

View attachment 1798499
Michelangelo, Bacchus, Museo Nazionale del Bargello, Florence, 1496-1497View attachment 1798500
Michelangelo, The Torment of Saint Anthony

View attachment 1798507
St. Peter's Basillica. Hapa ndio makao makuu ya kanisa Katoliki.

View attachment 1798510
Laurentian Library.
Asante Sana mkuu nilikua naanda maelezo kumuhusu huyu ndugu lakini Niko na furaha umemuelezea kinagaubada pongezi Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20210526_200016.jpg

Eliud Kipchoge EGH (born 5 November 1984) is a Kenyan long-distance runner who competes in the marathon and formerly competed at the 5000 metre distance. He has been described as "the greatest marathoner of the modern era".
He has a record of "fastest marathon distance (male)" and "first marathon distance under two hours" on the Guinness Book of World Records. (The INEOS 1:59 Challenge in Vienna, Austria, on 12 October 2019).

Note that, this recognition does not equate to a marathon competition record coz it was specifically created for him.
Screenshot_20210526_201115.jpg
 
View attachment 1798495
Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni ajulikanae kirahisi Michelangelo, alikuwa Muitaliano mtaalamu wa kuchonga sanamu, mchoraji wa picha, mbunifu wa majengo na mshairi.

Ndie binadamu wa kwanza kuwa na kitabu kinachohusu historia ya maisha yake alichokiandika mwenyewe (autobiography).

Anachukuliwa kuwa ni mmojawapo wa watu wenye mchango mkubwa katika sanaa ya uchoraji, ubunifu majengo na uchongaji wa sanamu duniani.

Baadhi ya kazi zake.

View attachment 1798497
Michelangelo, The Last Judgment, Sistine Chapel, Vatican City, 1536-1541

View attachment 1798498
Michelangelo, David, Galleria dell’Accademia, Florence, 1501-1504

View attachment 1798499
Michelangelo, Bacchus, Museo Nazionale del Bargello, Florence, 1496-1497View attachment 1798500
Michelangelo, The Torment of Saint Anthony

View attachment 1798507
St. Peter's Basillica. Hapa ndio makao makuu ya kanisa Katoliki.

View attachment 1798510
Laurentian Library.
Kuna yule Genius wa dunia aliyechora the Perfect Circle pekee na kuwazidi Geniuses wengine wote anaitwa Giotto

Waitaliano / Warumi ni hatari aisee yaani walizidiwa na Waisraeli na Wagiriki TU.
 
Baharia alikuwa na wake 700 na makonkyubaini 300. Yaani mpaka alimzidi babake (Mfalme Daudi) ubaharia [emoji16][emoji16]
Na hapo ninawasiwasi kwa huyo malkia wa sheba lazma alikula kimasihara maana kwa huyo jamaa asingemuacha hivi hivi malkia huyo
 
Auguste Frederic Bartholdi, huyu ni Mfaransa ambaye ndiye aliyebuni na kujenga sanamu maarufu duniani inayofahamika kama ''STATUE OF LIBERTY'' hii ipo New York Marekani ikiwa ni zawadi ya Ufaransa kwa marekani kwaajili ya kujenga ''Mahusiano mema'' ya nchi hizo mbili.

Mnara huu wenye sanamu ulijengwa 28/10/1886, una urefu wa mita 93 Sawa na futi 305 kutoka ardhini mpaka kwenye tochi iliyoshikwa kwa mkono wa kuume.

Mwanzoni ''Statue of Liberty'' ilikuwa na rangi ya brown yaani rangi halisi ya Shaba iliyoitengeneza lakini walikuja kubadilisha na kupaka ya kijani kwasasa.

Imeshshifadhiwa kwa kuimarishwa mara 3 mpaka sasa.

images%20-%202021-05-26T210323.578.jpg
570px-Lady_Liberty_under_a_blue_sky_(cropped).jpg
 
Na hapo ninawasiwasi kwa huyo malkia wa sheba lazma alikula kimasihara maana kwa huyo jamaa asingemuacha hivi hivi malkia huyo
Malkia wa Sheba si ndio Bibi yake Emperor Haile Sellasie?
 
Nipo naangalia series ya Narcos inayohusu maisha ya Pablo Escobar, japo alikua muhalifu ila hua namuAdmire sana. Moja ya kitu alichonifurahisha ni kupiga hii picha mbele ya ikulu ya marekani akiwa na mwanae wakati huo anatafutwa balaa. Hakuishia hapo aliipeleka familia yake kwenye kituo cha Disneyland marekani kula bata

Jitahidi uwe jasiri kama Pablito, pablo hakuna kitu alichopenda kama familia yake na wananchi wa mji wa Medellin...mwanae hapa chini ndio mwanadamu pekee aliyemuamini kuliko wote. Ila alimpenda zaidi mtoto wake wa kike.

Huyu dogo alimuambia anatamani aende White House apige picha jamaa hakujali anatafutwa hasa na wamarekani akaemda hivo hivo ili tu amafurahishe mwanae
View attachment 1797542
Hatar saana hiki kiumbe..
 
George Stinney 1929-1944 aliehukumiwa akiwa na miaka 14 tu kwa kosa la kuwauwa wasichana wa kizungu wawili Betty (11) na Mary Emma 7 huko South Carolina USA

Kesi ya kijana huyo mweusi iliamuliwa na kuhusishwa na mauwaji kwa dakika 10 tu na kuamua auwawe kwa kiti cha umeme
Ni kijana mdogo kuwahi kuhukumiwa kifo
Alilazimishwa kukubali kuwa kauwa wakati sio yeye muuwaji
IMG_1129.jpg
 
Back
Top Bottom