Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa huyu aliwahi kumpiga risasi mwendesha bajaji kisa amekwangua gari lake,huyo jamaa alikuwa Bwana harusi mtarajiwa,akafa hivi hivi.Alie wahi kuwa mkuu wa mkoa wa dar es laam na tabora marehemu Ukiwaona Ramadhani ditopile mzuzuri. View attachment 1803746
King'ang'anizi.Vladimir Putin rais wa urusi.
Aliwahi kuwa makamu wa rais
Akachaguliwa kuwa rais
Akachaguliwa rais mwingine yeye akawa waziri mkuu
Akachaguliwa tena kuwa rais mpaka Sasa. View attachment 1802476
RIP Wazalendo wa AfrikaUnapozungumzia umoja wa Africa hawa wazee hawataachwa kutajika.
Wazo lilianza kwa rais wa gana kwame nkrumah la kuunganisha. Watu wote wenye asili ya Africa popote walipo, pan-africanism.
Wazo liliungwa mkono kwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya viongozi wa Africa wakati huo akiwemo julias kambarage nyerere.
Nyerere alikuja na wazo kwamba ili umoja wa waafrica wote uwezekane ilitakiwa kwanza ziundwe jumuiya za kikanda ili Kuwezekana tamaduni zizoeleke, lugha zizoeleke nk.
Umoja huo uliundwa nchini Ethiopia, hii Ni kwa sababu Ethiopia ndio nchi pekee Africa ilioweza kuushinda ukoloni. View attachment 1802463
Kuna pambano fulani Kama sijakosea alimpiga mtu ndani ya sekunde 33, nimesahau kidogo alikua ni Nani aliepigana nae ila huyo jamaa aliepigana nae alijitapa Sana kwamba atampa Tyson bahati mbaya ndani ya sekunde 30 akakata Moto.Mike Tyson Iron .. Mwanamasumbwi wa uzito wa juu, aliyetwaa ubigwa wa dunia akiwa na umri wa miaka 20 tu akiwa kijana mdogo kabisa record ambayo haijavunjwa mpaka sasa . akimtandika kwa knockout bigwa uzito wa juu wa dunia kwa wakati huo aitwaye Trevor berbick.
Vilevile ni bondia aliyeshinda mapambano mengi kwa Knockout..
Alipigana mapambano 58 huku akishinda mapambo 50 na kati ya hayo hamsini 44 akishinda kwa knockout.. Huku akipoteza sita dhidi ya Deoglas bastler, Evender mara mbili, Lennox lewis, Williams na McBride..
Huku mapambano mawili hayakuwa ya ubingwa..
Pambano ambalo lilikuwa la moto zaidi ni kati ya tyson na Dovann Ruddock ( razor Ruddock) hili pambano lilikuwa piga nikupige..
View attachment 1803827View attachment 1803828
Sahihisho alimpiga konda wa daladala maeneo ya lugalo dsmJamaa huyu aliwahi kumpiga risasi mwendesha bajaji kisa amekwangua gari lake,huyo jamaa alikuwa Bwana harusi mtarajiwa,akafa hivi hivi.
Bila kusahau mike na evander pambano la kwanza nalo lilikuwa moto balaaaMike Tyson Iron .. Mwanamasumbwi wa uzito wa juu, aliyetwaa ubigwa wa dunia akiwa na umri wa miaka 20 tu akiwa kijana mdogo kabisa record ambayo haijavunjwa mpaka sasa . akimtandika kwa knockout bigwa uzito wa juu wa dunia kwa wakati huo aitwaye Trevor berbick.
Vilevile ni bondia aliyeshinda mapambano mengi kwa Knockout..
Alipigana mapambano 58 huku akishinda mapambo 50 na kati ya hayo hamsini 44 akishinda kwa knockout.. Huku akipoteza sita dhidi ya Deoglas bastler, Evender mara mbili, Lennox lewis, Williams na McBride..
Huku mapambano mawili hayakuwa ya ubingwa..
Pambano ambalo lilikuwa la moto zaidi ni kati ya tyson na Dovann Ruddock ( razor Ruddock) hili pambano lilikuwa piga nikupige..
View attachment 1803827View attachment 1803828
Huyu mwamba alipigana mapambano kadhaa kwa muda mfupi sana.Kuna pambano fulani Kama sijakosea alimpiga mtu ndani ya sekunde 33, nimesahau kidogo alikua ni Nani aliepigana nae ila huyo jamaa aliepigana nae alijitapa Sana kwamba atampa Tyson bahati mbaya ndani ya sekunde 30 akakata Moto.
Ila mapambano yalio kua ya kukata na shoka Tyson na evender! Enzi hizo miaka ile huyu jamaa aliishika mno tasnia ya masumbwi.
Taavid ugonjwa wenu huoSarah Baartman.View attachment 1797693
Alipona?Aliekuwa Rais wa USA Teddy Roosevelt 1912 alipigwa risasi ya kifuani akiwa anahutubia
Aliendelea kuhutubia akiwa anatokwa damu na kukataa kutibiwa mpaka kumaliza hotuba yake ya dakika 84
View attachment 1797154
Hapana, alikua ni dereva wa Daladala pale njia panda ya Kawe, ukiwa unatokea Mbezi Beach(ukivuka daraja la watembea kwa miguu). Inasemekana alimtwanga risasi dereva wa daladala baada ya kupisha kauli(inavyosemekana ni kua dereva wa daladala alimchomekea mh kwa ghafla, mh anamuuliza akatumia ishara ya lugha ya kuudhi ya matusi, mzee akapandwa na jazba akampa mbili za ukweli na dereva kukata moto pale pale)! Kadri ya maelezo ya watu wengi wakati ule.Jamaa huyu aliwahi kumpiga risasi mwendesha bajaji kisa amekwangua gari lake,huyo jamaa alikuwa Bwana harusi mtarajiwa,akafa hivi hivi.
The most woman ever?!Uzi bora kabisa.
Nasubiri picha Cleopatra ambaye inasemekana alikuwa the most woman ever.
Asante kwa kunisahihisha Mkuu, sema Nilikuwa nakumbuka lkn sio ktk usahihi wake.Hapana, alikua ni dereva wa Daladala pale njia panda ya Kawe, ukiwa unatokea Mbezi Beach(ukivuka daraja la watembea kwa miguu). Inasemekana alimtwanga risasi dereva wa daladala baada ya kupisha kauli(inavyosemekana ni kua dereva wa daladala alimchomekea mh kwa ghafla, mh anamuuliza akatumia ishara ya lugha ya kuudhi ya matusi, mzee akapandwa na jazba akampa mbili za ukweli na dereva kukata moto pale pale)! Kadri ya maelezo ya watu wengi wakati ule.
Sijui historia ya huu msemo kiukweli ila hiyo picha ya mtandaoni tu haina uhalisia wowoteTumsubiri Kim Dawizzy kwanza aje afafanue... Au kwani wewe una unalolifahamu kuhusu Mtemakuni?
KARIBU!
Mwanaume.D.B.Cooper - jamaa ambae aliweza kuiteka ndege ya Boeing mnamo mwaka 1971 na kisha kuomba apewe dollar laki 2, akidai ako na suitcase bomb(alikuwa nayo kweli). Alipewa na baada ya hapo alifanikiwa kuruka kutoka ndani ya ndege kwa kutumia parachuti pasipo kujulikana ni wapi alienda na alikuwa ni nani hasa na isijulikane yupo wapi mpaka leo hii. Aliyemuoa kwa mara ya mwisho kabla hajaruka, alikuwa mhudumu mmoja wa kike ndani ya ndege. Na mhudumu mwingine pia, ambaye tayari alikuwa ameshukishwa na abiria wengine kabla ya hiyo ndege kupaa tena kwa mara ya pili angani.
"A 1972 FBI composite drawing of Cooper(Picha iliyochorwa kupitia maelezo ya waliokuwepo ndani ya ndege hiyo)"
View attachment 1813599
"Northwest Orient Airlines Flight 305(ndege aliyoiteka nyara)"
View attachment 1813600
NB;Aliporuka, alitoka pamoja na lile bomu lake, pesa alizopewa na Parachute extra moja, sababu aliagiza nne lkn aliondoka na mbili.