Mikwara Ya Andunje
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 391
- 804
Mkuu huo utani wangumiNzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Walevi sio waongo ni watu waaminifu sanaha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
Demu outing ya kwanza kabugia windhoek 13 daah. Halafu anajidai sex mpaka ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Wacha uchokazi rudi kule kwetu kwenye mawazo mtambuka, huku utaishia kucheka kama sio kuchekwa.
Nimesona komenti naona shida watakua hawajui kutafuta, wanafikiri kutumia kidongo ndio kuongeza hazina.
[emoji23][emoji23][emoji23]Walevi wana majungu mno..
Mi sijutii kuwa timu soft drink na enjoy sana ysni
Msisahau na mapambioBaada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
HaaahaaaMi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?