MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

Mtafutie yaya Buza, Tandale au Mwananyamala. Umpeleke mtoto ashinde huko asubuhi hadi jioni. Ninakuhakikishia baada ya miezi mitatu atakuimbia nyimbo zote za Diamond.
😳 😳 😳
 
Kuwahi au kuchelewa kuongea kwa mtoto wala sio ugonjwa!inategemaea na mtoto wako unamlinganisha na mtoto wa yupi?au inategemea na unataka mtoto wako aongee nn kwa umri gan!so kila mtoto anadevelopment milestone yake so itategemea na unamlinganisha na yupi ili useme kachelewa kuongea au kawahi so nadhani ideal kubwa hapo ni kila mtoto na development milestone yake.
 
naomba kuuliza,mtoto alizaliwa na kilo 3 na point 2,kliniki yake ya kwanza akawa na kilo 5 point 3,na kliniki yake ya pili akawa na kilo 8 point 2,je kwa ongezeko ilo la kilo 2 ndani ya mwezi na ongezeko la kilo 3 mwezi unaofuata ni sawa mtoto kwa sasaivi ana miezi miwili na nusu
Mbona kwa.mtoto hilo sio tatzo kwa.sababu mtoto anapozaliwa uzito wake huongezeka mara mbili ya aliozaliwa nao baada ya miez mitatu na mara tatu ya uzto aliozaliwa nao baada ya miez 6 so ni kawaida, na next time zitakaposhindwa kuongezeka au kushuka utuambie sawa.
 
Mazingira ya mtoto sio mazuri... hana
1. Watoto rika lake + wakubwa kwake ambao ana socialize nao...
2. Mama+ Baba+ House gal hawana muda wa kutosha kuongeA na mtoto...
 
Naombeni msaada wenu wataalam wa afya,

mwanangu wa kiume ana miaka minne sasa but hajaanza kuongea. Napatwa na wasiwasi sana, nyimbo anaimba vizuri japo hatamki maneno yote ya nyimbo sawsawa lakini ukimsemesha hajibu but kuskia anaskia na anaelewa.

Wataalam wamempima hana tatizo lolote la ubongo yaani hata kwa shida yeyote haongei anakushika mkono na kukuonesha anachotaka.

NISAIDIEN JAMAN HIVI INAWEZEKANA AKAONGEA HATA AKIWA NA MIAKA MITANO?

Nimempeleka shule but haijasaidia
Habari dada...kwa kweri umenigusa Sana mwanangu WA kike 4yrs now anachangamoto kama hiyo anaweza hesabu 1-10 kwa kingereza na anapont V2 anavyo vitaka hospital wanasema ana tatizo lolote...imepita miaka 11 toka upitie changamoto nayopambana nayo naomba unisaidie ulitatuaje changamoto hiyo
 
Habari dada...kwa kweri umenigusa Sana mwanangu WA kike 4yrs now anachangamoto kama hiyo anaweza hesabu 1-10 kwa kingereza na anapont V2 anavyo vitaka hospital wanasema ana tatizo lolote...imepita miaka 11 toka upitie changamoto nayopambana nayo naomba unisaidie ulitatuaje changamoto hiyo

Tunahitaji kuhusisha na mishipa ya fahamu / neurology, umeme wake / energy
Circulation solutions , ambapo itaenda kufanya stimulation na wepesi kwenye Neva za ubongo na kuondoa hali ya uzito , watapata kuongea vizuri , Ila pia tungehitaji kufanya diagnosis kulingana na Mifumo yetu ya matibabu !

shida inaweza kuwa ni Phlegm toxin kwenye ubongo !

Tucheki tufanye diagnosis, ili tujue exactly kitu gani kinafanya huo ucheleweshwaji

Cont: +255757577995 / +255653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office
 
Back
Top Bottom