Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kuna wakati tunashindwa kujua walipo watu maarufu.
Pengine kwa sababu ya shughuli nyingi za Kitaifa tunashishwa kuwasikiliza kwenye vyombo vya habari pindi wanapokuwa wanazungumza.
Binafsi, kuna watu kama
John Mnyika: Huyu ni Katibu Mkuu wa CHADEMA. Zamani mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi 2015 hivi alikuwa mzungumzaji sana ila sasa hivi simsikii.
Wengine ni Dr Slaa, Raila Odinga, Bensoni Kigaila, nk
Wewe ni mtu gani humsikii?
Mtaje na bila shaka kuna watu wana taarifa zake.
NB: Mada haihusiani na uvumi; na wala kuvumisha uongo.
Pengine kwa sababu ya shughuli nyingi za Kitaifa tunashishwa kuwasikiliza kwenye vyombo vya habari pindi wanapokuwa wanazungumza.
Binafsi, kuna watu kama
John Mnyika: Huyu ni Katibu Mkuu wa CHADEMA. Zamani mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi 2015 hivi alikuwa mzungumzaji sana ila sasa hivi simsikii.
Wengine ni Dr Slaa, Raila Odinga, Bensoni Kigaila, nk
Wewe ni mtu gani humsikii?
Mtaje na bila shaka kuna watu wana taarifa zake.
NB: Mada haihusiani na uvumi; na wala kuvumisha uongo.