Wanaita chunusi bila kujua hiyo ni kazi ya huyu mzee baba😂Hili dude wabongo wanaliita chunusi,wanaamini kwenye maji kuna jini linalofyonza damu,kumbe ni huyo electric eel anakugonga shoti unakufa halafu tukikupata tunakukuta umepungukiwa damu sababu ya ile shoti,hapo wabongo ndio wanasema jini lilikunyonya damu[emoji16][emoji16][emoji16]
kumbeee!!Hili dude wabongo wanaliita chunusi,wanaamini kwenye maji kuna jini linalofyonza damu,kumbe ni huyo electric eel anakugonga shoti unakufa halafu tukikupata tunakukuta umepungukiwa damu sababu ya ile shoti,hapo wabongo ndio wanasema jini lilikunyonya damu[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama kuna uwepo wa mkunga hapo uliporusha jiwe, anakwaida ya kutanua mapezi yake na kutoa hewa kwa nguvu kuonesha amekasirika na ameingiliwa katika mambo yake. Kwa utowaji huo wa hewa pale juu panaonekana maji kuvibrate na si kufoka moshi.kumbeee!!
ila wanasemaga pia ukitaka kujua kama uyo "chunusi" yupo ukitupa jiwe majini panafoka moshi
Katika jamii nyingine wanaamini chunusi ni jini.kumbeee!!
ila wanasemaga pia ukitaka kujua kama uyo "chunusi" yupo ukitupa jiwe majini panafoka moshi
dah, hatari sanaKama kuna uwepo wa mkunga hapo uliporusha jiwe, anakwaida ya kutanua mapezi yake na kutoa hewa kwa nguvu kuonesha amekasirika na ameingiliwa katika mambo yake. Kwa utowaji huo wa hewa pale juu panaonekana maji kuvibrate na si kufoka moshi.
Mara mia umvue huyu samaki kwa ndoano kuliko unajifanya mjanja kutaka kumkamata kwa nyavu au kwa mikono, itakula kwako bwashee.
hakika!kwa wachaga nimeskia stori za chunusi sana wakiamini ni jiniKatika jamii nyingine wanaamini chunusi ni jini.
Jamii nyingi wanajua hivyo lakini in a real sense mtu majini anakufa (drown) kwenye mabwawa na mito baada ya mtu kupigwa shoti na mkunga baada ya kuingia kwenye anga zake au baada ya kuzidiwa na nguvu ya maji, kuishiwa nguvu ya kukabiriana nayo na kuzamishwa na kumeza yale maji huku akiwa amebanwa na pumzi akitapatapa.hakika!kwa wachaga nimeskia stori za chunusi sana wakiamini ni jini
sawa sawaJamii nyingi wanajua hivyo lakini in a real sense mtu majini anakufa (drown) baada ya kuzidiwa na nguvu ya maji, kuishiwa nguvu ya kukabiriana nayo na kuzamishwa na kumeza yale maji huku akiwa amebanwa na pumzi akitapatapa.
Jini likikutaka either limetumwa au lenyewe likitaka damu yako halina mbwembwe, mtashtukia tu mwenzenu amezama na haibuki tena mpaka baada ya siku kadhaa au msiupate tena mwili wake.
Mkuu Mshana Jr atasaidia kipengere hiki
Wazungu ni hamnazoKuna nyoka anaitwa 'Boomslang snake' ni mdogo na meno yake ni mafupi kiasi kwamba anaweza akakung'ata na akashindwa kukuachia sumu. Kutokana na hili wanasayansi walikua wakibishana ikiwa Boomslang ni venomous au non venomous.
Dr. Schmidt akaamua kufanya jaribio kwa kuruhusu ang'atwe na Boomslang na kuanza kurekodi mabadiliko ya kimwili yanayotokea tangu kung'atwa kwake. Sumu ya nyoka utendaji kazi wake hutegemea afya ya mtu, dozi aliyoitoa nyoka na vitu kama hivyo. Ila Boomslang anaweza kukung'ata leo ukafa wiki ijayo.
Dr. Schmidt aling'atwa jioni, jioni hiyo hakuona mabadiliko necessary. Kesho alivyoamka akala, akaandika alichokula kwenye notebook, kisha akaanza kuandika mabadiliko ya mwili yanayomkumba. Alivyofika ofisini hali ikawa mbaya kidogo msaidizi akamuambia ampe anti venom akagoma.
Akasema ataharibu experiment hivyo akaendelea kunote symptoms . Alivyofikia stage ya kutapika breakfast akamuambia msaidizi muda wa anti venom ndo huo ila ilikua too late. Dr. Schmidt akafariki.
Haha sasa si alikuwa anafanya majaribio kwa vitendo. Unamkumbuka yule aliejilengesha ili amezwe na nyoka sijui alikuwa anatafiti nini kwenye tumbo la nyoka nusura angekufa sema wenzake walimtoa japo alikuwa hoi.Wazungu ni hamnazo
Hao akina Stella kuna channel niliwaona wamewapa na majina kabisaYeah hawa wanapatikana Madascar tu
Wazungu wengi wanataka kuexperience somethings that will shock the world. Wengine ndio hivyo wanaojaribu vitu ambavyo vinapelekea vifo vyao, wengine wakifanikiwa hizo experiences zinawafanya wawe matajiri gafra.Haha sasa si alikuwa anafanya majaribio kwa vitendo. Unamkumbuka yule aliejilengesha ili amezwe na nyoka sijui alikuwa anatafiti nini kwenye tumbo la nyoka nusura angekufa sema wenzake walimtoa japo alikuwa hoi.
Dah umenikumbusha mbali sana huyu kiumbeNimemkumbuka na Antlion( Chungu simba). Larva wa huyu bosi huwa anachimba kashimo ardhini na yeye anajifukia pale katikati ya shimo. Kuta za shimo zinakuwa ziko kwenye angle fulani. Kwenye zile kuta anajaza mchanga. Sasa sisimizi au siafu ikijichanganya na kudumbukia mpe inashindwa kutoka. Ule mchanga kwenye ukuta unakuwa unaporomoka kila akijaribu kutoka. Basi hapo jamaa anatoka na kumtafuna kisha anarudishia mchanga na kusubiri tena windo.
View attachment 1713108View attachment 1713107
Mkuu mshana hii ishu ni mapokeo tu lakini hawa wanyama hawana sumu yoyote na nyongo zao ni kama zetu na kazi yake ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta kutoka tumboni kwenda kwenye damu.Pure nyongo ya mamba na kunguru