Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

Hili dude wabongo wanaliita chunusi,wanaamini kwenye maji kuna jini linalofyonza damu,kumbe ni huyo electric eel anakugonga shoti unakufa halafu tukikupata tunakukuta umepungukiwa damu sababu ya ile shoti,hapo wabongo ndio wanasema jini lilikunyonya damu[emoji16][emoji16][emoji16]
Wanaita chunusi bila kujua hiyo ni kazi ya huyu mzee baba😂
 
Hili dude wabongo wanaliita chunusi,wanaamini kwenye maji kuna jini linalofyonza damu,kumbe ni huyo electric eel anakugonga shoti unakufa halafu tukikupata tunakukuta umepungukiwa damu sababu ya ile shoti,hapo wabongo ndio wanasema jini lilikunyonya damu[emoji16][emoji16][emoji16]
kumbeee!!
ila wanasemaga pia ukitaka kujua kama uyo "chunusi" yupo ukitupa jiwe majini panafoka moshi
 
kumbeee!!
ila wanasemaga pia ukitaka kujua kama uyo "chunusi" yupo ukitupa jiwe majini panafoka moshi
Kama kuna uwepo wa mkunga hapo uliporusha jiwe, anakwaida ya kutanua mapezi yake na kutoa hewa kwa nguvu kuonesha amekasirika na ameingiliwa katika mambo yake. Kwa utowaji huo wa hewa pale juu panaonekana maji kuvibrate na si kufoka moshi.
Mara mia umvue huyu samaki kwa ndoano kuliko unajifanya mjanja kutaka kumkamata kwa nyavu au kwa mikono, itakula kwako bwashee.
 
Kama kuna uwepo wa mkunga hapo uliporusha jiwe, anakwaida ya kutanua mapezi yake na kutoa hewa kwa nguvu kuonesha amekasirika na ameingiliwa katika mambo yake. Kwa utowaji huo wa hewa pale juu panaonekana maji kuvibrate na si kufoka moshi.
Mara mia umvue huyu samaki kwa ndoano kuliko unajifanya mjanja kutaka kumkamata kwa nyavu au kwa mikono, itakula kwako bwashee.
dah, hatari sana
 
hakika!kwa wachaga nimeskia stori za chunusi sana wakiamini ni jini
Jamii nyingi wanajua hivyo lakini in a real sense mtu majini anakufa (drown) kwenye mabwawa na mito baada ya mtu kupigwa shoti na mkunga baada ya kuingia kwenye anga zake au baada ya kuzidiwa na nguvu ya maji, kuishiwa nguvu ya kukabiriana nayo na kuzamishwa na kumeza yale maji huku akiwa amebanwa na pumzi akitapatapa.
Jini likikutaka either limetumwa au lenyewe likitaka damu yako halina mbwembwe, mtashtukia tu mwenzenu amezama na haibuki tena mpaka baada ya siku kadhaa au msiupate tena mwili wake.
Mkuu Mshana Jr atasaidia kipengere hiki
 
Jamii nyingi wanajua hivyo lakini in a real sense mtu majini anakufa (drown) baada ya kuzidiwa na nguvu ya maji, kuishiwa nguvu ya kukabiriana nayo na kuzamishwa na kumeza yale maji huku akiwa amebanwa na pumzi akitapatapa.
Jini likikutaka either limetumwa au lenyewe likitaka damu yako halina mbwembwe, mtashtukia tu mwenzenu amezama na haibuki tena mpaka baada ya siku kadhaa au msiupate tena mwili wake.
Mkuu Mshana Jr atasaidia kipengere hiki
sawa sawa
 
Kuna nyoka anaitwa 'Boomslang snake' ni mdogo na meno yake ni mafupi kiasi kwamba anaweza akakung'ata na akashindwa kukuachia sumu. Kutokana na hili wanasayansi walikua wakibishana ikiwa Boomslang ni venomous au non venomous.

Dr. Schmidt akaamua kufanya jaribio kwa kuruhusu ang'atwe na Boomslang na kuanza kurekodi mabadiliko ya kimwili yanayotokea tangu kung'atwa kwake. Sumu ya nyoka utendaji kazi wake hutegemea afya ya mtu, dozi aliyoitoa nyoka na vitu kama hivyo. Ila Boomslang anaweza kukung'ata leo ukafa wiki ijayo.

Dr. Schmidt aling'atwa jioni, jioni hiyo hakuona mabadiliko necessary. Kesho alivyoamka akala, akaandika alichokula kwenye notebook, kisha akaanza kuandika mabadiliko ya mwili yanayomkumba. Alivyofika ofisini hali ikawa mbaya kidogo msaidizi akamuambia ampe anti venom akagoma.

Akasema ataharibu experiment hivyo akaendelea kunote symptoms . Alivyofikia stage ya kutapika breakfast akamuambia msaidizi muda wa anti venom ndo huo ila ilikua too late. Dr. Schmidt akafariki.
Wazungu ni hamnazo
 
Haha sasa si alikuwa anafanya majaribio kwa vitendo. Unamkumbuka yule aliejilengesha ili amezwe na nyoka sijui alikuwa anatafiti nini kwenye tumbo la nyoka nusura angekufa sema wenzake walimtoa japo alikuwa hoi.
Wazungu wengi wanataka kuexperience somethings that will shock the world. Wengine ndio hivyo wanaojaribu vitu ambavyo vinapelekea vifo vyao, wengine wakifanikiwa hizo experiences zinawafanya wawe matajiri gafra.
 
Hawachanganyi na kitu kingine? We mkuu umeshuhudia ikiua? Kawaida sumu ya kuweka kwenye mishale hutoka kwenye miti(mbegu), wadudu na baadhi ya vyura.
Pure nyongo ya mamba na kunguru
 
Nimemkumbuka na Antlion( Chungu simba). Larva wa huyu bosi huwa anachimba kashimo ardhini na yeye anajifukia pale katikati ya shimo. Kuta za shimo zinakuwa ziko kwenye angle fulani. Kwenye zile kuta anajaza mchanga. Sasa sisimizi au siafu ikijichanganya na kudumbukia mpe inashindwa kutoka. Ule mchanga kwenye ukuta unakuwa unaporomoka kila akijaribu kutoka. Basi hapo jamaa anatoka na kumtafuna kisha anarudishia mchanga na kusubiri tena windo.
View attachment 1713108View attachment 1713107
Dah umenikumbusha mbali sana huyu kiumbe
 
Pure nyongo ya mamba na kunguru
Mkuu mshana hii ishu ni mapokeo tu lakini hawa wanyama hawana sumu yoyote na nyongo zao ni kama zetu na kazi yake ni kusaidia ufyonzaji wa mafuta kutoka tumboni kwenda kwenye damu.
 
Back
Top Bottom