Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

Yaani wanyama 161 wamechangia mada hii! Hongera JF kuwa na idadi kubwa hivyo membazi wa JF.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827] ni 162
 
[emoji3080][emoji3080]
IMG-20160601-WA0002.jpg
 
Hamna mkuu, ni uzushi kama uzushi mwingine. Tafiti za kisayansi zilifanyika na kuona kuwa ni hekaya tu.
Wamasai na wamang'ati wanatumia sana nyongo za mamba na kunguru kutengeneza sumu ya kwenye mishale..hili nina hakika nalo kwakuwa onetime mto wa mbu nilishiriki hili zoezi
 
Wamasai na wamang'ati wanatumia sana nyongo za mamba na kunguru kutengeneza sumu ya kwenye mishale..hili nina hakika nalo kwakuwa onetime mto wa mbu nilishiriki hili zoezi
Hawachanganyi na kitu kingine? We mkuu umeshuhudia ikiua? Kawaida sumu ya kuweka kwenye mishale hutoka kwenye miti(mbegu), wadudu na baadhi ya vyura.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]nimegundua JF tuna vichwa vimejaa maarifa ...ni namna tu ya kushare na wengine ama "kuyatumia kivingine"[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu humu kuna chakula ya ubongo ya kutosha
 
KUNA DHANA MIONGONI MWA WATU WANASEMA KUA :Nyoka hana uadui na mwanadamu,ila mwanadamu ndiye mwenye uadui na nyoka,kama hujamuona nyoka anaweza kuja hadi kwenye miguu yako ila ukimuona tu hata kama hutakimbia yeye lazima akimbia au atakugonga,kwamba ukimuona mwili wako unatoa kiashiria kwa nyoka kua wewe ni adui..


Hii imekaaje
Unapomwona nyoka, mwili wako unamwaga homoni za adrenaline.

Nyoka anaweza kunusa hizo homoni kisha akabaini kuna hatari.

Au pia inawezekana reaction yako ya kushtuka ikampa tension ya kujilinda.

Kifuatacho atakudunga mijino yake au atakimbia.
 
Kuna ndege wanaitwa cuckoo sifa yao kubwa ni kuvamia viota vya ndege wengine, pengine hii sifa na wewe ndiyo unaijua. Wasumbufu, wakorofi n wana ubabe hivi.

Tabia nyingine ya cuckoo ni kutopenda kulea mayai yao na vifaranga vyao. Now logic itakufanya ujiulize kama hawalei ni nani wanalea? Jibu ni simple, ndege wengine hua wanalea mayai ya cuckoo.

You see cuckoos hutafuta kiota ambacho tayari kina mayai kisha cuckoo jike huenda kutaga hapo na kuyeya. Ndege mwenye kiota ataatamia mayai, atalisha vifaranga kisha siku ikifika atashangaa kuna kibaba kipo hapo hakielewi na amekilisha tangu kichanga, by that time katakua kanaweza kupaa so katajiondokea.

Now siyo kila ndege ni wajinga au siyo? Wengine wataangalia na kugundua hichi siyo kifaranga changu so ataanza kukatenga kwa kutokapa chakula ambapo cuckoos huteua genge la ndege kadhaa ambao humtembelea yule mama ndege aliyegoma kulisha kifaranga cha cuckoo na kumshushia kipigo.

Mostly baada ya hapo huyu kifaranga hulishwa vyema kabisa mpaka anakua na kuondoka zake.h
Autralia ku
Kule Kuna mpaka wale Komodo dragon,sema hawana venom Wana bakteria Fulani wakimng'ata buffalo achukui round!!

Pia Kuna mamalia Kama huyo platypus anayetaga na Kuna mamalia wengine hawana placenta sio viviporous wanakuza vijusi kwenye special porch mf kangaroo!!

Napia ziko species nyingi za nyoka wanaotoka familia tofauti na elapidae(cobras,mambas)

Wenye neurotoxins Kali na hawana antvenom

Shikamoo Australia!!

Ila vifo vinavyosababishwa nao Ni vichache mno ukilinganisha na vya king kobra wa Asia au black mamba wa africa
Australia kuna wanyama wengi sana ambao hawapatikani kwenye mabara mengine sijui kwanini!
 
Back
Top Bottom