Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

Sumu ya nyoka huitwa venom na siyo poison. Venom ni sumu ambayo ili ifanye kazi inatakiwa iingie kwenye mishipa ya damu wakati poison ufanyaje wake kazi huweza sababishwa na hata kuigusa tu au kuimeza.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Kwa kuongeza kazi kubwa ya venom Ni kusaidia mmeng'enyo na kuua lindo
Mfano nyoka mwenye venom akimdunga panya atamuacha aende zake akijua afiki mbali

Akitumia ulimi wake atam sense atampata tayari kafa na ile sumu imeshaanza kummeng'enya

Venom unaweza kunywa ila usijaribu Kama una vidonda vya tumbo
 
Nyoka wa kwenye Biblia ni nyoka wa mafumbo (figurative snake) haina maana ya huyu nyoka mnyama anayegonga watu, kumbuka katika elimu za roho (maandiko matakatifu) lugha za aina hiyo ni nyingi sana na inatakiwa kuchunguza kabla ya kutoa tafsiri ya moja kwa moja (literal meanings).

Katika lugha ya kiroho Nyoka inawakilisha mtu au kiumbe yeyote mbaya, katika muktadha wa Adam na Hawa yule nyoka anayetajwa kumhadaa Hawa ni Mtu muovu na wala hakuwa nyoka--mnyama kwani haitatokea na haijatokea hata siku moja hadi kiyama nyoka- mnyama kumzidi akili binadamu.
Hata mimi nilishawaza kama wewe mkuu
 
Kwa kuongeza kazi kubwa ya venom Ni kusaidia mmeng'enyo na kuua lindo
Mfano nyoka mwenye venom akimdunga panya atamuacha aende zake akijua afiki mbali

Akitumia ulimi wake atam sense atampata tayari kafa na ile sumu imeshaanza kummeng'enya

Venom unaweza kunywa ila usijaribu Kama una vidonda vya tumbo
Venom unaweza kunywa ila usijaribu Kama una vidonda vya tumbo[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Kuenda kwa tumbo ni katika maana hiyo hiyo ya "figurative" (symbolic), unaposema fulani "atasota", kusota kwa maana ya moja kwa moja ni kutembelea makalio kwa kujiburuza ardhini lakini maana ya figurative ni kupata shida kimaisha nk, hivyo kusota ni sawa na kutembelea tumbo kwa nyoka kuhusiana na binadamu.

Maana nzima ya nyoka kutembelea tumbo katika muktadha wa Adam na Hawa ni huyo nyoka (mtu muovu) atapigika, atasota nk, katika maisha.

Watu wengi sana tunakosea sana kutafsiri baadhi ya maneno ya kiroho "literally" ni makosa kama hayo ndiyo yamepelekea kuamini KIMAKOSA kwamba Yesu alikufa akafufuka na akapaa KIMWILI mbinguni na yupo hai hadi hii leo huko juu, imani potofu kama hiyo hata Wayahudi walikuwa nayo kabla hata Yesu hajazaliwa, wao waliamini kwamba Nabii Eliya alipaa juu mbinguni na angeshuka kabla ya Masiha (Yesu) hajatokea, Yesu alipotokea wakamuuliza; je mbona Eliya hajashuka kutoka mbinguni??, Yesu akawajibu Yohana mbatizaji ndiye Eliya na mwenye masikio asikiye!!., hivyo sasa imani potofu ya watakatifu kupaa mbinguni kidhahiri ilianza kitambo sana ila tu watu wanashindwa kujua ni nini maana ya mtu kupaa mbinguni katika lugha ya kiroho, kupaa mbinguni maana yake ni kusalimika kwa uwezo wa mbinguni (uwezo wa Mungu) kutokana na shida, karaha, mateso nk, abayopata mtu, kama tujuavyo Yesu alipata Mateso makubwa chini ya mafarisayo nk, hivyo alinusurika na kuhamia nchi nyingine akiwa yeye na mama yake na Mariam Magdalene mkewe. Bi Mariam Mama Yesu alifariki wakiwa njiani na alizikwa chini ya foot of Mt Muree in Pakistan (Mary's mountains, named so after her)

Walihamia Kashmir na huko aliendelea kuhubiri injili kwa Wana wa Israeli waliopo huko na akazikwa huko na kaburi lake lipo huko Kashmir, Shrinagar, mtaa wa Khanyar, Watalii kibao huenda kuzuru hilo kaburi lililo maarufu sana huko Kashmir, Kwa habari pana ingia Youtube orGoogle Rozabal shrine.

Nimeamua kueleza kwa ufupi jambo hilo kuonyesha jinsi watu wanavyopotoka kwa kusoma na kuelewa maandiko ya kiroho "literally".

"Kushuka" (kuja) tena kwa Yesu duniani nako kuna maana yake Kiroho, sitaweza kueleza kwani ni habari ndefu sana.
Hii habari ya Yesu ni kwangu mpya. Naomba sources mkuu tafadhali
 
TEMBO anabeba mimba kwa zaidi ya miezi 24 akizaa anakaaa miaka mitatu ndo abebe tenaa


Ila Bungeni kuna MP alisema ndani ya miaka mitano wamezaliwa tembo 4500[emoji16]
[emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji38][emoji38][emoji38]
 
tapatalk_1587648923924.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ndege wanaitwa cuckoo sifa yao kubwa ni kuvamia viota vya ndege wengine, pengine hii sifa na wewe ndiyo unaijua. Wasumbufu, wakorofi n wana ubabe hivi.

Tabia nyingine ya cuckoo ni kutopenda kulea mayai yao na vifaranga vyao. Now logic itakufanya ujiulize kama hawalei ni nani wanalea? Jibu ni simple, ndege wengine hua wanalea mayai ya cuckoo.

You see cuckoos hutafuta kiota ambacho tayari kina mayai kisha cuckoo jike huenda kutaga hapo na kuyeya. Ndege mwenye kiota ataatamia mayai, atalisha vifaranga kisha siku ikifika atashangaa kuna kibaba kipo hapo hakielewi na amekilisha tangu kichanga, by that time katakua kanaweza kupaa so katajiondokea.

Now siyo kila ndege ni wajinga au siyo? Wengine wataangalia na kugundua hichi siyo kifaranga changu so ataanza kukatenga kwa kutokapa chakula ambapo cuckoos huteua genge la ndege kadhaa ambao humtembelea yule mama ndege aliyegoma kulisha kifaranga cha cuckoo na kumshushia kipigo.

Mostly baada ya hapo huyu kifaranga hulishwa vyema kabisa mpaka anakua na kuondoka zake.

Aisee huyu cuckoo ni shetani kabisaaa
Huwa nikiwaangalia nashangaa sana yaani mpaka mtoto anapozaliwa tu bado hata hajafungua macho anahakikisha anabaki peke yake kwenye kichali
Yaani anadondosha mpaka yai lililobaki
IMG_5917.jpg
 
Siyo kila mara nyoka akikung'ata atakuachia sumu. Huweza kukung'ata na asikuachie sumu kwakua anajua wewe siyo chakula chake hivyo hawezi kupoteza sumu yake wakati ataihitaji katika kuwinda.

Kitendo cha kung'ata bila kutoa sumu huitwa 'Dry bite' takwimu zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kudanganya kafika kileleni kuliko nyoka kukung'ata na kukuachia sumu.
Au sio
 
Kuenda kwa tumbo ni katika maana hiyo hiyo ya "figurative" (symbolic), unaposema fulani "atasota", kusota kwa maana ya moja kwa moja ni kutembelea makalio kwa kujiburuza ardhini lakini maana ya figurative ni kupata shida kimaisha nk, hivyo kusota ni sawa na kutembelea tumbo kwa nyoka kuhusiana na binadamu.

Maana nzima ya nyoka kutembelea tumbo katika muktadha wa Adam na Hawa ni huyo nyoka (mtu muovu) atapigika, atasota nk, katika maisha.

Watu wengi sana tunakosea sana kutafsiri baadhi ya maneno ya kiroho "literally" ni makosa kama hayo ndiyo yamepelekea kuamini KIMAKOSA kwamba Yesu alikufa akafufuka na akapaa KIMWILI mbinguni na yupo hai hadi hii leo huko juu, imani potofu kama hiyo hata Wayahudi walikuwa nayo kabla hata Yesu hajazaliwa, wao waliamini kwamba Nabii Eliya alipaa juu mbinguni na angeshuka kabla ya Masiha (Yesu) hajatokea, Yesu alipotokea wakamuuliza; je mbona Eliya hajashuka kutoka mbinguni??, Yesu akawajibu Yohana mbatizaji ndiye Eliya na mwenye masikio asikiye!!., hivyo sasa imani potofu ya watakatifu kupaa mbinguni kidhahiri ilianza kitambo sana ila tu watu wanashindwa kujua ni nini maana ya mtu kupaa mbinguni katika lugha ya kiroho, kupaa mbinguni maana yake ni kusalimika kwa uwezo wa mbinguni (uwezo wa Mungu) kutokana na shida, karaha, mateso nk, abayopata mtu, kama tujuavyo Yesu alipata Mateso makubwa chini ya mafarisayo nk, hivyo alinusurika na kuhamia nchi nyingine akiwa yeye na mama yake na Mariam Magdalene mkewe. Bi Mariam Mama Yesu alifariki wakiwa njiani na alizikwa chini ya foot of Mt Muree in Pakistan (Mary's mountains, named so after her)

Walihamia Kashmir na huko aliendelea kuhubiri injili kwa Wana wa Israeli waliopo huko na akazikwa huko na kaburi lake lipo huko Kashmir, Shrinagar, mtaa wa Khanyar, Watalii kibao huenda kuzuru hilo kaburi lililo maarufu sana huko Kashmir, Kwa habari pana ingia Youtube orGoogle Rozabal shrine.

Nimeamua kueleza kwa ufupi jambo hilo kuonyesha jinsi watu wanavyopotoka kwa kusoma na kuelewa maandiko ya kiroho "literally".

"Kushuka" (kuja) tena kwa Yesu duniani nako kuna maana yake Kiroho, sitaweza kueleza kwani ni habari ndefu sana.
Mkuu wewe ni Ahmadia? Maana hili uliloeleza hapa ni itikadi ya Ahmadia ambayo ilianza mwishoni mwa 1800. Kabla ya hapo hakuna Mwislam au Myahudi au hata Mkristo aliyesadiki hili uliloandika hapa
 
Mkuu wewe ni Ahmadia? Maana hili uliloeleza hapa ni itikadi ya Ahmadia ambayo ilianza mwishoni mwa 1800. Kabla ya hapo hakuna Mwislam au Myahudi au hata Mkristo aliyesadiki hili uliloandika hapa


Iwe ni imani ya mtu yeyote yule ilmradi inaingia akilini na inao ushahidi thabiti basi ni imani sahihi ya kufuatwa.

Usahihi wa imani yenye ushahidi ndiyo jambo la kufuatwa na sio kufuata imani potofu kulingana na muda "uliopita" unaoujua wewe.
 
Back
Top Bottom