Hahahaaaaaa!!! Best ngoja nikajichungulie.Best jichunguze vizuri na hicho asemacho mshana[emoji1] [emoji1]
Hahaha haya ukimaliza usisahau mrejeshoHahahaaaaaa!!! Best ngoja nikajichungulie.
Niliwahi kusikia kama watu hawa hawana bahati iwe ya mahusiano ama uzazi.........mm napingana na hili siaminiTuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Siri za familiaNadhani ndo maana hata mleta mada anakubali kuwa huu si ugonjwa bali ni asili, you just have to live it kama umebahatika kuwa na ka-mkia sema taabu itakuwa kama ukipata mwenza asiye muelewa ndo utasoma namba
Mada imeshaelezewa hapo juu we umekalia kuuliza maswali tu hapa we teacher vipi?Kwani@mshana Jr anazungumzia hemorrhoids??
Naomba kukiona kama kipoHemorrhoids
Sijakiona best.Hahaha haya ukimaliza usisahau mrejesho
Hongera best, upo salamaSijakiona best.
Bibie naonq upo vzr kwny ufahamu wa hivi vinyamaHayo ni maumbile tu kama kale kakidole ka sita au kinundu nyuma ya sikio au kisigino kirefu.
Unamaanin baadhi ya makabila Asia hufananisha kinyama hicho na pesa?
msichokielewa ni kuwa kile cha mwanamme hutengezwa wakati wa tohara..kuna wanaume wengine,hasa wanaotahiriwa mahospitalini hawana kile kinyama manake govi linakatwa lote ila kwa baadhi ya makabila ya afrika wanapowatahiri wanaume wao lile govi halikatwi likaanguka...kuna kale kakipengee kanawachwa kakining'inia upande wa chini na hupungua urefu kadri unavyozidi kuuguza kile kidonda..manufaa yake ni kuongeza hamu katika mambo yale ya watu wazima na pia huongezea raha kwa mwanamke kwani ule msuguo huongezeka(vaginal friction)hivyo kupelekea hata "kunyaza"..Hili nalo swali zuri sana...
Labda niulize swali,maumbile ya wanaume yanafanana?