Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Ndio maana wakati mwingine msichana akikutaa sio kwamba hakupendi binadam wanapitia mengi sana ukikataliwa mpende aliyekukataa hasa kama hajatumia lugha mbaya kukataa kuna rafiki mmoja binti mdogo kabisa ana hiyo changamoto kwa kweli inamuumiza kama kuna mtu ana dawa yoyote naomba ashee hapa
 
Hebu mwenye kinyama atujfi-ishe tuone kamkia ama vepeeee

Dr
 
Wanaume pia wanacho au ni wanawake tu?
 
Niliwahi kusikia kama watu hawa hawana bahati iwe ya mahusiano ama uzazi.........mm napingana na hili siamini

Sent from my HUAWEI Y550-L01 using JamiiForums mobile app
 
Mshana jr, hiki kinyama unachozungumzia ni kile tunaita kitaalamu Hemorhoids au Piles au kwa Kiswahili Bawasiri?
 
Hayo ni maumbile tu kama kale kakidole ka sita au kinundu nyuma ya sikio au kisigino kirefu.
Unamaanin baadhi ya makabila Asia hufananisha kinyama hicho na pesa?
Bibie naonq upo vzr kwny ufahamu wa hivi vinyama
 
Hili nalo swali zuri sana...
Labda niulize swali,maumbile ya wanaume yanafanana?
msichokielewa ni kuwa kile cha mwanamme hutengezwa wakati wa tohara..kuna wanaume wengine,hasa wanaotahiriwa mahospitalini hawana kile kinyama manake govi linakatwa lote ila kwa baadhi ya makabila ya afrika wanapowatahiri wanaume wao lile govi halikatwi likaanguka...kuna kale kakipengee kanawachwa kakining'inia upande wa chini na hupungua urefu kadri unavyozidi kuuguza kile kidonda..manufaa yake ni kuongeza hamu katika mambo yale ya watu wazima na pia huongezea raha kwa mwanamke kwani ule msuguo huongezeka(vaginal friction)hivyo kupelekea hata "kunyaza"..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…