Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nawahi ibada ya mchana aiseee....Unaenda wapi labda
Ila mkumbushe mshana asitusahau kwenye mgao wa hili tangazo kama akipata wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawahi ibada ya mchana aiseee....Unaenda wapi labda
Best unakubaliana na hilo kweli?Ukihitaji msaada wangu niambie mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongera best, upo salama
We ulifuata nini hadi ukakiona?[emoji85] [emoji85] [emoji85]Nishawahi kukutana nacho. Sio bawasir ni kinyama flani hivi kinakua kimechongoka flani hivi. Mbona kiko poa tu unaweza kukitumia pia kuamshia hisia kama unavyofanyaga kile cha ule mlango mwingine. Ila mshana jr acha upekuzi ulifata nini huko mpaka ukakiona?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Mimi bhana huwa sielewi hadi nione picha[emoji144] [emoji144] [emoji144]Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Mie namuogopa bhana...Nawahi ibada ya mchana aiseee....
Ila mkumbushe mshana asitusahau kwenye mgao wa hili tangazo kama akipata wateja
Best espy kweli huna kinyama siunaona offer hizi, utacheza kwaito za wenzio mpaka lini best ebu changamka basiBasi naomba unifikishie hii...[emoji181] kwake....[emoji85] [emoji85]
mshana Jr njoo utueleze ulichukua unatafuta hadi ukakutana na hicho kinyama....[emoji13] [emoji13]Nishawahi kukutana nacho. Sio bawasir ni kinyama flani hivi kinakua kimechongoka flani hivi. Mbona kiko poa tu unaweza kukitumia pia kuamshia hisia kama unavyofanyaga kile cha ule mlango mwingine. Ila mshana jr acha upekuzi ulifata nini huko mpaka ukakiona?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Akikujibu naomba unitag...[emoji12] [emoji12] [emoji12]We ulifuata nini hadi ukakiona?[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Best sasa nitafanyaje maana Ushimen hapati usingizi juu yako ujueBest unakubaliana na hilo kweli?
Tatizo ni hofu kwa wanaume.. Maana wanaona ni ajabu sana mtu kuwa na kamkia
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi ni tabibuNishawahi kukutana nacho. Sio bawasir ni kinyama flani hivi kinakua kimechongoka flani hivi. Mbona kiko poa tu unaweza kukitumia pia kuamshia hisia kama unavyofanyaga kile cha ule mlango mwingine. Ila mshana jr acha upekuzi ulifata nini huko mpaka ukakiona?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivi mtume si alikataza hata kuona huo mlango wa nyuma kwa macho? Suala la kudumu kwenye mahusiano linajumuisha mambo mengi ikiwamo hata namna unavyochagua mwenzi.
Hapana best siwezi, unajua wewe huchoshi kabisaBest kweli umenichoka.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Aisee mama yoyo biasara matangaso nakuja kwa pm yako.Ngoja nitafute mmasai nithibitishe kama wewe ulivyothibitisha kimkia[emoji85] [emoji85]
Achana na superstition, damu ya YESU yatosha hakuna cha nuksi wala balaaTuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa