Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi ni tabibu

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
mshana kuna mdada aliambiwa hivo na ndugu zake tena akaambiwa eti kikatwe na mpenzi wake na wembe akakatwa alitoka damu kidogo afe.kumbe ule ni mshipa wa damu umekosea tu njia . hakuna kitu kama hicho wanawake kibao wana bawasiri na wameolewa na wana watoto. hata hapo nyumbani kwako kama kuna wanawake kumi nane wana bawasiri sema ipo ya ndani na ya nje .inategemea tu ana ipi
 
Halafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!



Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
inatibika ila ipo complicated inaweza kurudi tena
 
Halafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!



Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
shkamoo.
 
Hahaha kaka! Ikurudie!

Long time Kitambo. Nimefurahi kukuona siku hii iliyotukuka. Wifi ananitunza vyema inasaidia nisikumisi sana.


Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mtume si alikataza hata kuona huo mlango wa nyuma kwa macho? Suala la kudumu kwenye mahusiano linajumuisha mambo mengi ikiwamo hata namna unavyochagua mwenzi.
Hahaha, eti mtume alikataza kuona mlango wa nyuma kwa macho!![emoji1] [emoji1]
 
wabongo utawaweza? kila mtu aweke picha ya kishimo chake hapa tuone kwanza ndo tuongee


yaan mie kiujumla mtu mwenye akili zakishrikina shirikna huwa sitakag hata kumsikiliza aic! yaan walaa! yaan yy alwys anawaza kulogwa logwa tu! kha! haitakuja niamin haya mambo ya ushirikina maishan kwangu kila kitu lazima kitokee kwa sababu jaman eish
 
yaan mie kiujumla mtu mwenye akili zakishrikina shirikna huwa sitakag hata kumsikiliza aic! yaan walaa! yaan yy alwys anawaza kulogwa logwa tu! kha! haitakuja niamin haya mambo ya ushirikina maishan kwangu kila kitu lazima kitokee kwa sababu jaman eish
mwaya hata kama unacho ni kitu cha kawaida kabisa kuna dawa ,kuna operation .halafu watu kibao wanavo yaani katika mia ni kumi hawana ' hapa jf ni mimi tu sina
 
mwaya hata kama unacho ni kitu cha kawaida kabisa kuna dawa ,kuna operation .halafu watu kibao wanavo yaani katika mia ni kumi hawana ' hapa jf ni mimi tu sina


mh hapana sina hchokitu mm!naskiaga tu bawasiri! SINA
 
Back
Top Bottom