Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ASILIMIA 80 YA WATU WANA BAWASIRI DUNIANI .MSHANA NI MGANGA WA GOOGLE FIX KIBAOHivi mtume si alikataza hata kuona huo mlango wa nyuma kwa macho? Suala la kudumu kwenye mahusiano linajumuisha mambo mengi ikiwamo hata namna unavyochagua mwenzi.
mshana kuna mdada aliambiwa hivo na ndugu zake tena akaambiwa eti kikatwe na mpenzi wake na wembe akakatwa alitoka damu kidogo afe.kumbe ule ni mshipa wa damu umekosea tu njia . hakuna kitu kama hicho wanawake kibao wana bawasiri na wameolewa na wana watoto. hata hapo nyumbani kwako kama kuna wanawake kumi nane wana bawasiri sema ipo ya ndani na ya nje .inategemea tu ana ipi[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi ni tabibu
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
ASILIMIA 80 YA WATU WANA BAWASIRI DUNIANI .MSHANA NI MGANGA WA GOOGLE FIX KIBAO
Best we haya tu!![emoji24] [emoji24] [emoji24]Hapana best siwezi, unajua wewe huchoshi kabisa
wabongo utawaweza? kila mtu aweke picha ya kishimo chake hapa tuone kwanza ndo tuongeeHalafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!
Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
Akuu, nishampata.Aisee mama yoyo biasara matangaso nakuja kwa pm yako.
inatibika ila ipo complicated inaweza kurudi tenaHalafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!
Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
shkamoo.Halafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!
Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
weeeee😱😱😱😱😱wabongo utawaweza? kila mtu aweke picha ya kishimo chake hapa tuone kwanza ndo tuongee
shkamoo.
hahaaaa halafu wewe kaka mbona unapenda sana kuniqote?weeeee😱😱😱😱😱
Hahaha, eti mtume alikataza kuona mlango wa nyuma kwa macho!![emoji1] [emoji1]Hivi mtume si alikataza hata kuona huo mlango wa nyuma kwa macho? Suala la kudumu kwenye mahusiano linajumuisha mambo mengi ikiwamo hata namna unavyochagua mwenzi.
wabongo utawaweza? kila mtu aweke picha ya kishimo chake hapa tuone kwanza ndo tuongee
wewe ni mwanaume?Hahaha kaka! Ikurudie!
Long time Kitambo. Nimefurahi kukuona siku hii iliyotukuka. Wifi ananitunza vyema inasaidia nisikumisi sana.
Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
Mtani imebidi tu niwe mdogo, jamaa kasema "we teacher nini"?Swali gani eti mtani? Labda naweza saidia kwa kofia ua "utani"
mwaya hata kama unacho ni kitu cha kawaida kabisa kuna dawa ,kuna operation .halafu watu kibao wanavo yaani katika mia ni kumi hawana ' hapa jf ni mimi tu sinayaan mie kiujumla mtu mwenye akili zakishrikina shirikna huwa sitakag hata kumsikiliza aic! yaan walaa! yaan yy alwys anawaza kulogwa logwa tu! kha! haitakuja niamin haya mambo ya ushirikina maishan kwangu kila kitu lazima kitokee kwa sababu jaman eish
mwaya hata kama unacho ni kitu cha kawaida kabisa kuna dawa ,kuna operation .halafu watu kibao wanavo yaani katika mia ni kumi hawana ' hapa jf ni mimi tu sina
hahaaaa halafu wewe kaka mbona unapenda sana kuniqote?