Sizungumzii kuhusu magonjwa ya bawasiri na bakatibuKwa kitaalamu kinaitwa basiri,... Ni kinyama kinachotokea kwa wanaume na wanawake wenye gene ya aina flan ila kinatibika,..Mara nyingi kina endan na sehemu zenye fistula,... Ccbrt wanatibu u ugonjwa was basiri na fistula pia,.. Mama usifate njia potofu nenda hospital watakusaidia usihofu,..
Sizungumzii kuhusu magonjwa ya bawasiri na bakatibu
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Duh [emoji15] kwa iyo ni nn,
Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Leo naunga mkono Hoja.. Niliwai kuwa na demu mmoja, majanga matupu, nikaachana naeNB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Usipate shida mi nitakusaidia kukiangaliaImebidi nikajichungulie aisee
Wewe ni jinsia gani nichangie kwbb maalum kukusaidia either ke or MeTuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Chalii umetishaHiko ni kinyamkera,dawa yake ni kukiziba
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Tatizo hao Wanawake wameanza kuota mapembe kwahiyo acha waongezewe mikia tu..
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Imebidi nikajichungulie aisee
Hata mimi piaMm sijawahi kuona hiko kinyama