Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Basi una nyota ya mikia, hebu jichungulie.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji144] [emoji144] [emoji144]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Sizungumzii kuhusu magonjwa ya bawasiri na bakatibu

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Tang u nizaliwe nikakua nikawa na akili Leo ndo nasikia hiki kitu,sijawh kukisikia hata kidogo its a breaking news to me
Umezaliwa lini?

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Duh [emoji15] kwa iyo ni nn,



Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimeshawahi kukutana na binti mwenye hako kamkia kadogo.ni kama kimfupa hivi kidogo chini ya kiuno karibu na mwanzo wa mfereji .
Alafu huyo bint aliwahi kuolewa na akapata mtoto lakini ndoa yake alivunjika na mtoto amefariki.
Sasa huyo bint amekuwa hana furaha kabisa ktk maisha yake amekuwa yuko kwenye sress muda wote.
Sijui kuna ukweli na aliyosema member mmoja kuhusu mahusiano na msichana wa aina hiyo ?

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni jinsia gani nichangie kwbb maalum kukusaidia either ke or Me

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Weka name picha mkuu

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…