Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha.Uachage kututisha!!!
cute b njoo uone alokuja nalo tena huyu ex wako[emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ha ha ha ha.
Ana vioja huyo hatari. Niulize Mimi..
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
Hiyo si ni bawasiri?!Kuna Internal na External.![]()
Antena ya nukusiOk... Ngoja na mimi nitoe ushuhuda wangu!
Hiki kitu mimi nilikuaga nacho but sikuwa naelewa kitu gani! (Afu nilikuaga napenda kukichezea mwenyewe maana ni kilaini hv)
Sasa mwaka jana nilipita kwenye page ya Usipojipanga nitakupanga (Instagram) Nikamkuta mtu anakitolea ufafanuzi kama wa mshana jr
I was surprised ikabidi nimpigie mama kumuuliza hii kitu ni kweli??
Mama akaniambia Ndio tena kinaitwa "Kikanga!"
Ikabidi awasiliane na mamangu mdogo yupo Kigamboni ndo akaniambia nenda kwa mamaako mdogo kuna mbibi anamjua akakukate!
Nikaenda nikakatwa na wembe kisha akanipaka majani fulani hv yanawasha kiasi!
Kuhusu mikosi inawezekana maana daah nilikuwa nabwaga kila siku (teheteh)
So guys msibishe hii kitu ipo na sio kwamba ni ushirikina maana mm sikwenda kwa mganga
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]ila wanawake wangependeza wangekuwa na mikia ona farasi na zile hips na ule mkia anavyopendeza
Shukrani mkuu, kumbuka inawezekana wewe huna lakini una mikosi kuliko wao!Antena ya nukusi
Nashukuru sina mkosi wowote na sijamaanisha kuwacheka ila ukweli ni kimkia cha mikosi....usitokwe na povu ghafla tu....chako si kishakatwa sasa mapovu ya nini[emoji19]Shukrani mkuu, kumbuka inawezekana wewe huna lakini una mikosi kuliko wao!
Umeninukuu vibaya, sitokwagi povu but the way ulivyoandika sentence yako haifurahishi kwa walionacho!Nashukuru sina mkosi wowote na sijamaanisha kuwacheka ila ukweli ni kimkia cha mikosi....usitokwe na povu ghafla tu....chako si kishakatwa sasa mapovu ya nini[emoji19]
Haijakufurahisha wewe tu...hakuna mwingine aliyeni quote zaidi yako...mbona mleta mada hukumpayukia??hakutamka kuwa ni kinyama cha mikosi??This JF where a person has a freedom even to provokeUmeninukuu vibaya, sitokwagi povu but the way ulivyoandika sentence yako haifurahishi kwa walionacho!
Duuh! Something is wrong somewhereHaijakufurahisha wewe tu...hakuna mwingine aliyeni quote zaidi yako...mbona mleta mada hukumpayukia??hakutamka kuwa ni kinyama cha mikosi??This JF where a person has a freedom even to provoke
Find it and correct itDuuh! Something is wrong somewhere
Duu!!!!!kaka mpaka picha tena??Mshana Weka Picha maana hakuna jinsi,wengine sio watafiti hatujawahi kuviona.
Hahaahah[emoji23]Antena ya nukusi