Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mkuu naona unawapa watu home work wakafungue misambwanda ya wenzi wao na hii hali ilivyo mbaya tegemea watu kuanza kuonekana mabasha
 
Hii ndio naisikia...!

Sent from my Lenovo TAB 2 A7-30H using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli hii nmewah kusikia kinaleta mikosi sana dawa yake ni kukatwa ata hosptal wanakata

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Ha ha ha ha.
Ana vioja huyo hatari. Niulize Mimi..

Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
images
Kuna Internal na External.
Hiyo si ni bawasiri?!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Picha mkuu

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Ok... Ngoja na mimi nitoe ushuhuda wangu!
Hiki kitu mimi nilikuaga nacho but sikuwa naelewa kitu gani! (Afu nilikuaga napenda kukichezea mwenyewe maana ni kilaini hv)
Sasa mwaka jana nilipita kwenye page ya Usipojipanga nitakupanga (Instagram) Nikamkuta mtu anakitolea ufafanuzi kama wa mshana jr

I was surprised ikabidi nimpigie mama kumuuliza hii kitu ni kweli??

Mama akaniambia Ndio tena kinaitwa "Kikanga!"

Ikabidi awasiliane na mamangu mdogo yupo Kigamboni ndo akaniambia nenda kwa mamaako mdogo kuna mbibi anamjua akakukate!

Nikaenda nikakatwa na wembe kisha akanipaka majani fulani hv yanawasha kiasi!

Kuhusu mikosi inawezekana maana daah nilikuwa nabwaga kila siku (teheteh)

So guys msibishe hii kitu ipo na sio kwamba ni ushirikina maana mm sikwenda kwa mganga
Antena ya nukusi
 
ila wanawake wangependeza wangekuwa na mikia ona farasi na zile hips na ule mkia anavyopendeza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Shukrani mkuu, kumbuka inawezekana wewe huna lakini una mikosi kuliko wao!
Nashukuru sina mkosi wowote na sijamaanisha kuwacheka ila ukweli ni kimkia cha mikosi....usitokwe na povu ghafla tu....chako si kishakatwa sasa mapovu ya nini[emoji19]
 
Umeninukuu vibaya, sitokwagi povu but the way ulivyoandika sentence yako haifurahishi kwa walionacho!
Haijakufurahisha wewe tu...hakuna mwingine aliyeni quote zaidi yako...mbona mleta mada hukumpayukia??hakutamka kuwa ni kinyama cha mikosi??This JF where a person has a freedom even to provoke
 
Back
Top Bottom