Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, aisee hii dunia imejaa ya ajabu.
Hiyo hata wanaume wanakuwa nayoSio ndio kinachoitwa bawasili na kama ndio hicho basi atawanaume wanacho
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu nipatie msaada wa huyo aliyekutibu,maana kuna ndugu yangu anacho,tena wa kike,anapata shida.Ok... Ngoja na mimi nitoe ushuhuda wangu!
Hiki kitu mimi nilikuaga nacho but sikuwa naelewa kitu gani! (Afu nilikuaga napenda kukichezea mwenyewe maana ni kilaini hv)
Sasa mwaka jana nilipita kwenye page ya Usipojipanga nitakupanga (Instagram) Nikamkuta mtu anakitolea ufafanuzi kama wa mshana jr
I was surprised ikabidi nimpigie mama kumuuliza hii kitu ni kweli??
Mama akaniambia Ndio tena kinaitwa "Kikanga!"
Ikabidi awasiliane na mamangu mdogo yupo Kigamboni ndo akaniambia nenda kwa mamaako mdogo kuna mbibi anamjua akakukate!
Nikaenda nikakatwa na wembe kisha akanipaka majani fulani hv yanawasha kiasi!
Kuhusu mikosi inawezekana maana daah nilikuwa nabwaga kila siku (teheteh)
So guys msibishe hii kitu ipo na sio kwamba ni ushirikina maana mm sikwenda kwa mganga
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Imebidi nikajichungulie aisee
Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
na ambavyo wanakata mauno wakitembea kumbe ni sura mbaya kiasi hicho?..
Mwambie aende Ungindoni kule karibia na kibada, then afike msikitini aulizie kwa mzee Yusuphu(hatopata shida kupata maana ni maarufu sana), mkewe ndo anafanya shuhuli hiyo!Samahani mkuu nipatie msaada wa huyo aliyekutibu,maana kuna ndugu yangu anacho,tena wa kike,anapata shida.
Post sent using JamiiForums mobile app
Ushawahi kuona kwa wanaume?Inawatokea.
Katumia kioo huyo hahahHuwezi kujiona, njoo nikuchungulie mimi
[emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji102] [emoji85] [emoji125]
Madamee umetumia nn kuhakiki ?Hujui tuu ulivyo ntisha na vimikia, mtu unaweza uwe nacho na usijue eti... Ndo maana nimejikuta naenda kuhakikisha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji115] [emoji115]Madamee umetumia nn kuhakiki ?
Ni sawa yawezekana kikawepo tangu unazaliwa lakini ni rarely to happen mostly huota na kukua. Huzalisha homa kali na kuuma. Utachoma sindano zote hakikomi maumivu.Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
hakuna upande kisikoleta madhara ni hatari sana.Hilo ni tatizo, kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapenda apatwe na tatizo!! Lakini nimeona ameongelea upande wa wanawake tu nikataka kujua je ikitokea kwa wanaume kinakuwa hakina hiyo mikosi?
Muunganishe nami apate tiba ya swanga awe huru hata hospital siku hizi wanakata vizuri. Bibi yangu ana utaalamu wa kuvitambua hata vilivyoota ndani kwa kumuuangalia mtu nje tu.Aisee kuna mdada anako hako kamkia chini kidogo ya kiuno karibia na ule mfereji wa suez/panama.matatizo uliyoyaelezea ya kukosa furaha na nuksi yanalandana kabisa na situasheni aliyokuwa nayo yule dada,mie mwenyewe nlitemana naye ndani ya muda mfupi japo alikuwa mzuri sana
We Ni daktari au alikutumia picha?Aisee kuna mdada anako hako kamkia chini kidogo ya kiuno karibia na ule mfereji wa suez/panama.matatizo uliyoyaelezea ya kukosa furaha na nuksi yanalandana kabisa na situasheni aliyokuwa nayo yule dada,mie mwenyewe nlitemana naye ndani ya muda mfupi japo alikuwa mzuri sana