Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana
sasa utajuaje amezaliwa nacho?Nisome tena pale tamati kwenye NB
huwezi kujua bhana duuuh[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa kudukua
unacheka badala ya kujibu? au unafikiri ziko sawa zote[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe mushana hata wewe una mkiya hrafu unaleta ufukunyuku hapa,weye una mkiya au hauna tuanziye hapo.Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...
Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.
NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
eti nawe wauliza .Hicho kinyama/kimkia huwatokea wanawake tu?
Mkuu hicho kinyama ni mbali na KIBAWASIRI.Kuwa mwerevu loh
hakika muwe fair na sisi mama, dada na kila KE jamani si kutuandama kihiviNajua kuna manii zinanuka kama kamongo