bawasiri ni ugonjwa unaoweza mpata mwaname au mwanamkee wa umri wowote. ila mostly ni mama wajawawazito wazee na wenye shida ya constipation.
kuna ana mbili za bawasiri.
ya ndani na ya njee
bawasiri ni kitendo cha mishipa ya njina ya haja kubwa kuvimba kupelekea kuchomoza, naukuleta maumvu makali endapo mtu atapata choo kigumu
bawasiri haitibiki wa dawa adi operation. ila unashaurwa kula vyakula vya kulainisha choo kuepusha maumivu makal wakati wa kujisaidiaa
kuna ana mbili za bawasiri.
ya ndani na ya njee
bawasiri ni kitendo cha mishipa ya njina ya haja kubwa kuvimba kupelekea kuchomoza, naukuleta maumvu makali endapo mtu atapata choo kigumu
bawasiri haitibiki wa dawa adi operation. ila unashaurwa kula vyakula vya kulainisha choo kuepusha maumivu makal wakati wa kujisaidiaa