Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Hiv vinyama vinaitwa anal tag kwa kinyakyusa wanaita makila, tofaut kidgo na bawasili(haemmorrhoids).
Bawasili hutokea sana kwa wajawazito au wanaobeba mizigo mizito nk. Lakin sijui kuna uhusiano gan na iman hizo.
japo hata mm nasikia sana watu wanasema ukiwa na kinyama hicho hupati mtt,
Anyway siwez kupuza iman za asili kabsa.
Shida ushahid tu unakosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una shule haba tu ila hongera uemjitahid, bawasili hutibika kwa dawa pia.
Duuh ...!!, hii mpya masikioni kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
bawasiri ni ugonjwa unaoweza mpata mwaname au mwanamkee wa umri wowote. ila mostly ni mama wajawawazito wazee na wenye shida ya constipation.
kuna ana mbili za bawasiri.
ya ndani na ya njee
bawasiri ni kitendo cha mishipa ya njina ya haja kubwa kuvimba kupelekea kuchomoza, naukuleta maumvu makali endapo mtu atapata choo kigumu
bawasiri haitibiki wa dawa adi operation. ila unashaurwa kula vyakula vya kulainisha choo kuepusha maumivu makal wakati wa kujisaidiaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ukweli 89% niliyekuwa naye alikuwa nacho alikuwa na nyota ya pesa,ila alikuwa ameachana na wanaume kadhaa baadaye hata na mimi mwenyewe tukaachana,niliyenaye Sasa hivi naye anacho na kazalishwa na wanaume watatu nje ya ndoa nikibahatika kutia mimba Mimi nitakuwa mzazi mwenziwe wa nne

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu[emoji30][emoji30][emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144]

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom