Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Hiv vinyama vinaitwa anal tag kwa kinyakyusa wanaita makila, tofaut kidgo na bawasili(haemmorrhoids).
Bawasili hutokea sana kwa wajawazito au wanaobeba mizigo mizito nk. Lakin sijui kuna uhusiano gan na iman hizo.
japo hata mm nasikia sana watu wanasema ukiwa na kinyama hicho hupati mtt,
Anyway siwez kupuza iman za asili kabsa.
Shida ushahid tu unakosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una shule haba tu ila hongera uemjitahid, bawasili hutibika kwa dawa pia.
Duuh ...!!, hii mpya masikioni kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu[emoji30][emoji30][emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…