Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mkuu.....
Hiyo unayo isema inaitwa Bawasir sina hakika na inavyo andikwa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Antie umenichekesha!! Hilo ni tatizo la kiafya bwana,ungekuwa nalo nadhani ungeshajua.
Antie
Binadamu sio wema kabisaa, hawashindwi kukuwekea mkia atii
 
Hilo ni tatizo, kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapenda apatwe na tatizo!! Lakini nimeona ameongelea upande wa wanawake tu nikataka kujua je ikitokea kwa wanaume kinakuwa hakina hiyo mikosi?
Unacho nini?? Jamani mbona somo geni kwangu jamani??
 
mh mi sijawai kukaona kiongozi kumbe kuna wanawake wanavimkia ....na je kama iko kamkia kako kwa mwanaume inakuaje ? Vice versa au? Au haipo kwa wanaume ?

Mi mbona ninacho mkuu kwa sisi wanaume itakuwa ni bahati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…