Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mmh hapo umenihukumu vibaya naomba usome tena kwa makini nilichoandika utaelewa
 
Ngoja nitafute mmasai nithibitishe kama wewe ulivyothibitisha kimkia[emoji85] [emoji85]
[emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu...
Ukweli sijui kama huwatokea na wanaume sababu sijawahi kumkagua mwanaume.
Na kuhusu chanzo ama hutokana na nini, hili sijawahi kujua pia
Hahahaaa!!! Hili swali mbona mnalikimbia?
 
We hujui hipsi na tako ni dili sasa hivi, we acha tukaongeze maana mmezidi kutunyanyapaa.
Ebu ukisha kuongeza kwa huyo tapeli, ukuje nikutathmini tena....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hakuna kitu kama hicho,kwanza hayo ni mateso anapata,ukiwa mzazi utayaona haya
Yaani atahiriwe mwanaume ila matatizo ya uzazi niyapate mimi!!! Au hicho kinyama kinachobakia kwenye uume kina madhara kwa wananwake?
 
Hivi vinyama nina bahati navyo.. Havina shida kabisa tena unawatumia pasipo na shaka na wengi walio navyo zile sehemu zinakua zimetuna sio mparabati..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Usikubali kuwa Fungu la kukosa,hata kama umepita kwa waganga 100 umeambiwa una mkosi,hata kama una kinyama au vinyama ...tafuta tiba sahihi,kula mlo sahihi...waza mawazo sahihi.
Naona unaharibu biashara ya mleta uzi hapa.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Maana hachelewi kusema dawa anayo kwa anae hitaji tiba...[emoji12] [emoji12]
 
Hayo ni maumbile tu kama kale kakidole ka sita au kinundu nyuma ya sikio au kisigino kirefu.
Unamaanin baadhi ya makabila Asia hufananisha kinyama hicho na pesa?
Sawa mkuu, nazidi kupata darsa mujarab kabisa.....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Naona unaharibu biashara ya mleta uzi hapa.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Maana hachelewi kusema dawa anayo kwa anae hitaji tiba...[emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…