Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Hahahaaa!!! Hili swali mbona mnalikimbia?
Sawali la kuhusu sodoma na gomora/la, dini yangu hairuhusu hata kulitamka...[emoji13] [emoji13]
Maana minimejaribu kufafanua vile nilivyo wahi kuviona wakati nilipokua kijana...[emoji12] [emoji12]
 
Eh ngoja nimkague uyu
 
Sawali la kuhusu sodoma na gomora/la, dini yangu hairuhusu hata kulitamka...[emoji13] [emoji13]
Maana minimejaribu kufafanua vile nilivyo wahi kuviona wakati nilipokua kijana...[emoji12] [emoji12]
Hahahaaaa!! Sawa mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wehauhitaji tiba..? Maana kuna mtu anadalili za kua anayo dawa laivu..[emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Yaani atahiriwe mwanaume ila matatizo ya uzazi niyapate mimi!!! Au hicho kinyama kinachobakia kwenye uume kina madhara kwa wananwake?
Hili nalo swali zuri sana...
Labda niulize swali,maumbile ya wanaume yanafanana?
 
Hili funzo sio sahihi linaweza likaua kabisa self esteem ya mtu.Ni sawa na kusema Mfupa wa Albino huleta utajiri.
Kumbe kuna mtu anawalisha tango pori hapa eehhh....[emoji15] [emoji15]
 
Naona unaharibu biashara ya mleta uzi hapa.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Maana hachelewi kusema dawa anayo kwa anae hitaji tiba...[emoji12] [emoji12]
Namkubali sana Mshana ila mabandiko yake mengi yana impact mbaya katika akili za wengi wasioelewa usahihi wa vitu fulani fulani.
Ningefurahi kama angekuwa anabandika vitu vyenye positive impact siku moja moja...
Kwa mfano anajua kuwa watu wenye dimples huwa wanakuja kuwa Matajiri sana[emoji6][emoji6]
 
Kumbe kuna mtu anawalisha tango pori hapa eehhh....[emoji15] [emoji15]
Hapa anaweza akawa sahihi kwa mtazamo wa Giza...sasa kwa mtazamo wa Nuru huo mkia dawa yake kuchemshwa kuliwa soup[emoji23]yani hauna madhara kabisa kama anayoyasema watu wasihofie kabisa.Na madhara watayaona wakiamini anachosema.
 
Siwengine tunaamini katika maandiko matakatifu, na ukipata tatizo la kiafya ni kumuona Dr
Mimi muumin mzuri sana wa Elimu yeyote ile yenye manufaa kwangu.
Muumin wa mila na desturi pia...ila mila na desturi zisizoleta faida wala ustawi katika jamii ni za kuchoma moto.Hazifai hata kurithishwa.Hakuna tatizo lisilo na tiba isipokuwa kifo.Sasa Mshana anavoelezea huo mkia utafikiri waliozaliwa nao maisha yao yatakuwa uchungu mtupu,wakt sio sahihi kabisa.
 
Wanakua na kitu kama bawasili?
 
Naona unaharibu biashara ya mleta uzi hapa.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Maana hachelewi kusema dawa anayo kwa anae hitaji tiba...[emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji87] [emoji102]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…