Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mmmmh
 
Na wanawake wenye ndevu pia wana bahati zao! Ukisoma mada hii utaona mwishoni nimehoji kinyama cha mwilini kina mahusiano gani na maisha ya mtu...
Naomba tu niseme kweli nimekutana (sio kimwili) na mabinti waliopungua watano (sio wa JF) wanaodai kuwa na hili tatizo mbaya zaidi wanataka tiba za kienyeji na hawa ni kiwakikishi cha wengi wanaopotoshwa na kuingizwa kwenye maagano mabaya kabisa
Kinachonisosonesha muda mwingine ni aina ya uandishi wangu ambao style yake huonekana kwamba am so negative but if you read me between the lines utagundua jambo lingine tofauti kabisa
 
Usisahau kutupia
Ila nakumbuka nlikua mafunzon nchi za ng'ambo kuna binti m1 aliwahi kuwa nacho iko kinyama bt kikatolewaga then, next... yule binti alikuaga anapata matatzo ya kuishiwa nguvu n kuanguka anguka kila mara...

Sasa cjui tatzo ni nn ilikuwa... Mana b4 hajakitoa alikuaga fiti tu
 
Lakini umesema kuwa wameliwa sana kwa waganga...seems tatizo lao ni la 'kimila'...ila wameshindwa kupata ufumbuzi...ukiona hivyo ujue kule sio tiba sahihi ilipo wala sio sahihi kuwa kinyama kinawakosesha bahati ila mambo mengine tu.
Wakatambike tu kwao huenda kuna mambo mengine sio kimkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…