Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Na wanawake wenye ndevu pia wana bahati zao! Ukisoma mada hii utaona mwishoni nimehoji kinyama cha mwilini kina mahusiano gani na maisha ya mtu...
Naomba tu niseme kweli nimekutana (sio kimwili) na mabinti waliopungua watano (sio wa JF) wanaodai kuwa na hili tatizo mbaya zaidi wanataka tiba za kienyeji na hawa ni kiwakikishi cha wengi wanaopotoshwa na kuingizwa kwenye maagano mabaya kabisa
Kinachonisosonesha muda mwingine ni aina ya uandishi wangu ambao style yake huonekana kwamba am so negative but if you read me between the lines utagundua jambo lingine tofauti kabisa
Mimi nna ndevu halafu bado sijautwanga mkavu,dada yangu pia,binamu zangu wote
Na naamini kindevu hiki hakitoniletea bahati bali juhudi zangu na positive mindset...ingawa chenyewe kinakuwa kinanipa nguvu tu yani.
 
Naona umeganda kwenye huu uzi... Mwishowe utakula ban
Nilisha kuonyesha dawa ya kutokula ban...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hata hivyo bado wana mning'inio kwa ule mchakamchaka wa jana...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mimi nna ndevu halafu bado sijautwanga mkavu,dada yangu pia,binamu zangu wote
Na naamini kindevu hiki hakitoniletea bahati bali juhudi zangu na positive mindset...ingawa chenyewe kinakuwa kinanipa nguvu tu yani.
Wewe tayari ni asset japo pia sioni uhusiano wa ndevu na utajiri ama dimples na utajiri between you become what you think, your perception creates your reality
 
...
Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana!

Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano ...ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu....na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu

NB: hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa

mshana jr, hongera kwa kuwa unaleta mada za kusisimua kuhusu dunia ya giza. Leo kwamba kuna akina mama wana laana kwa kuzaliwa na hicho ulichokiita kinyama njia ya haja kubwa, na kwamba siyo ugonjwa, imebidi niingie mitandaoni na vitabu vya tiba kuchimba zaidi. Haya ndiyo niliyoyapata kutoka THEHABARI, gazeti la mtandao, pamoja na hao niliowanukuu.

"JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI?!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

~Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika kama piles

~Tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

~Kuna Aina mbili za bawasiri

(A) BAWASIRI YA NDANI

~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa
haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili

~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika

(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia

(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

(B)BAWASIRI YA NNJE

~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo
THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO

~Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷

[https://s]KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
[https://s]KUHARISHA KWA MUDA MREFU
[https://s]TATIZO LA KUTOPATA CHOO
[https://s]MATATIZO YA UMRI
[https://s]KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
[https://s]UZITO KUPITA KIASI
[https://s]MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

[https://s]Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
[https://s]kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
[https://s]kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
[https://s]kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
[https://s]kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

~Matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa na anion chip kubandika mahali penye tatizo na kuondoa tatizo Hilo

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia

[https://s]KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
[https://s]KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
[https://s]EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI

[https://s]kupata upungufu wa damu (anemia)
[https://s]Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
[https://s]hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
[https://s]kuathirika kisaikolojia
[https://s]kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali."

MKUU mshana jrni vyema ukarudia utafiti wako, hasa wa kuhusisha nguvu za giza na masuala ambayo yanaweza kujibiwa kwa tafiti za kisayansi. Hata waja wazito walikatazwa kula mayai, na wengine hadi leo wanaamini hivyo.

Hemorrhoids

Kwa uzoefu nilioupata katika pitapita.....(usiniulize wapi)
Nilijifunza aina tatu ya vitu visivyo vya kawaida ambavyo hitokea/huwepo kwenye njia ya haja kubwa.

1: Bawasir, hii hutokea kwa ke na me kwenye njia ya haja kubwa na hutokea kama sehem ya ndani ya kinyeo inataka kutoka nje. Na nimeshuhudia ikitibiwa kwa kufanyiwa upasuaji wa kawaida.
....
3: Kimkia ambacho anakizungumzia mleta mada ni, kina muonekano kama kinyama chembene kilicho ishilizia kwa umbo la mchongoko. Kina muonekano laini sana kama kingozi kilicho tokezea kutoka ndani ya sehem ya haja kubwa, ingawa niliwahi kupenkenyua sehem na nikaona kimeungana na sehem ya mwisho wa mlango wa kinyeo. Hiki kinyama kimekaa kama salio ama mabaki ya haja kubwa kana kwamba hapaja safishwa sawaia.
 
Wewe tayari ni asset japo pia sioni uhusiano wa ndevu na utajiri ama dimples na utajiri between you become what you think, your perception creates your reality
Kama yako ilivyocreate reality ya hivyo vimkia!!!
Hebu endelea na uchunguzi utuletee jibu bwana kana na wanaume wanavyo, maana unatufundisha tabia mbayaya kuanza kuchungulia[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
images
Kuna Internal na External.
Kwani@mshana Jr anazungumzia hemorrhoids??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Antie umenichekesha!! Hilo ni tatizo la kiafya bwana,ungekuwa nalo nadhani ungeshajua.
Kwani mleta mada amezungumzia hemorrhoids? Huyu jamaa ameleta kitu kingine kabisa kwa mtazamo wangu, hemorrhoids zipo kwa jinsi zote, just like genital warts na hazileti mikosi coz it's a disease.
 
Kwani mleta mada amezungumzia hemorrhoids? Huyu jamaa ameleta kitu kingine kabisa kwa mtazamo wangu, hemorrhoids zipo kwa jinsi zote, just like genital warts na hazileti mikosi coz it's a disease.
Baadae ndio alifafanua kuwa ni kimkia.
Kwahiyo hiyo mikia inawatokea wanawake tu?
 
Kwa wanaume sijui kwakuwa sijawahi kufanya utafiti[emoji85] [emoji85]
Nimecheka kwa sauti kubwa hadi watu wamenishangaa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom