Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Aisee kuna mdada anako hako kamkia chini kidogo ya kiuno karibia na ule mfereji wa suez/panama.matatizo uliyoyaelezea ya kukosa furaha na nuksi yanalandana kabisa na situasheni aliyokuwa nayo yule dada,mie mwenyewe nlitemana naye ndani ya muda mfupi japo alikuwa mzuri sana
weye vipi huna mkiya?
 
Eti mlango wa nne hahahahaaaa
Nasikia kabila la wapare wanaogopa koo la washana na wasofe eti wanahiyo kitu je ni kweli Mshana?
Nisaidie jibu plz
 
sio kali sana mzee wa mitishamba wewe una mkiya ila tu mkiya wako uko kwa mbele.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji87] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dunia bwana ina mambo mengi sanaa,vinatibika vile vidude, kuna mtu namfaham alipewa dawa na wamama wa kimasai kikaisha,lkn pia hivi mwenzako akiwa na tatizo ndo umkimbie kwann basi usiangalie namna ya kumsaidia?
naona kamkia kanakusumbua muone gfsowin anayo tiba
 
huwezi kujua bhana duuuh
mnaonekana mnachunguzaaaa, mbona sisi hatuchunguzi zile manii zenu kama ziko tatu au mbili kawaida?

nacheka tu mwenyewe hapa

teh teh
manii tatu au mbili nini hicho
 
Back
Top Bottom