Both Teleplayed by Me ✌️Tafadhali weka link yake hapa tusome pamoja.
Iweke hapa tuburudike wote.Mada yangu pendwa ni Wazee wa Road Trip mpo?lazima nipite humu zaidi ya mara tatu kwa siku, ninajifunza na kuelimika mno yanayojadiliwa ndani ya Mada hii na uzuri wachangiaji wote wanaongelea vitu halisi, mfano mchangiaji akiwa anasafiri ndani ya T1 anapost yale anayoyaona kwa wakati ule sio story za vijiweni kudos kwa mtoa mada hii na salutes kwa wachangiaji wote, hii Mada isifikie mwisho
Mada yangu pendwa ni Wazee wa Road Trip mpo?lazima nipite humu zaidi ya mara tatu kwa siku, ninajifunza na kuelimika mno yanayojadiliwa ndani ya Mada hii na uzuri wachangiaji wote wanaongelea vitu halisi, mfano mchangiaji akiwa anasafiri ndani ya T1 anapost yale anayoyaona kwa wakati ule sio story za vijiweni kudos kwa mtoa mada hii na salutes kwa wachangiaji wote, hii Mada isifikie mwisho
kwani mi nimesemaje?ile inasisimua viungo vya siri