mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wameenda jioneaa big ass
Ova
Yanii mamaee...Mpaka kikukuuu mamaee ndugaii[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48] huu ungesee sanaa...Na kikuku chake mguuni
Na jamaa walivyokuwa weakHatar sana yaani huyu wakwenda bungeni? Ndo mana yamezima bunge maana hamna yanachofanya
Kikuu meaning yke 713 iz availaboooNa kikuku chake mguuni
Bungeni kaenda kama nani?Yanii mamaee...Mpaka kikukuuu mamaee ndugaii[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48] huu ungesee sanaa...
Hahahaha ataongeza cha chu ya maendeleo? Dah! !!Km picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu..
Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini km Prof Kabudi, Job Ndugai, Poul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani km Polepole na Musiba, kwa hakika Mlimbwende huyu ataongeza chachu ya maendeleo nchini..
Hizi ni baadhi ya picha zake kwa wasiomjua..
Karibu mjengoni na chamani Madaam..View attachment 1130743View attachment 1130745View attachment 1130746
Kwanza itabidi aalikwe Ikulu naona Mobeto kishaalikwa kule teuzi yake iko njiani [emoji12][emoji12]
Kikuu meaning yke 713 iz availabooo
Usiulize
Ova
Asset aliyonayo kaenda kulitangazaHuko bungeni amekwenda kama nani. ..Yaani amelifanyia nini Taifa. ..Hadi kupata huo mualiko. ?
Kwa kweli. ..Yaani bunge lime kuwa kama soko. .kila mtu anaingia tu foolish. ...Hatar sana yaani huyu wakwenda bungeni? Ndo mana yamezima bunge maana hamna yanachofanya
hahaha portable like you!Alikuwaga na kashape kake kazuri tuu jamani