Life kweli haiko fea,wakati wenzake wanasaka ndoa had kwa waganga yeye ashapiga ndo nne anaitafuta ya tano, kubabake walah!!Baada ya kuikimbia ndoa ya nne Dida shaibu amejitapa kuwa tayali yupo kwenye mahusiano mapya na mwakani 2022 ataolewa tena ndoa ya tano, Dida amesema wakati anafunga ndoa na mhe.Kumbilamoto kuna mtu mwingine ambae alikuwa nae kwenye mahusiano lakini mapenzi yao yalikufa baada ya yeye kuolewa,
Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.
Katika utetezi wake Dida anasema "kaachwa mama Neilson Mandela atakuwa yeye!!" na kuwataka watu waache kumdisi.
Ikumbukwe wakati anaolewa Dida alisema huyo ndiye atakaekuwa mume wake wa kufa na kuzikana.
View attachment 2059224
Tena mheshimiwa hakua peke yake, ila alimzidi kete mpinzani wake na sasa mpira unarudi kwa keeper.Mwanamke mpumbavu sana,yaani huo uke wake anaufanya kama bazoka kila mtu akitaka anatafuna utamu ukiisha anaitema,anajiabisha sana.
Igekuwa ruksa kutest mitambo mie ningeenda kutest nione cha ajabu nin kiasi hao wajomba wanapagawa?Tena mheshimiwa hakua peke yake, ila alimzidi kete mpinzani wake na sasa mpira unarudi kwa keeper.
Nani amekuzuia kutest mitambo kwa dida. Sema ukitest akikuelewa mzee baba utaoa tuu maana analazimisha sana ndoa huyo bibiIgekuwa ruksa kutest mitambo mie ningeenda kutest nione cha ajabu nin kiasi hao wajomba wanapagawa?
Ni kweli ana maajabu au wajomba tu na umbwiga wao!!![emoji848]
Muumba mzee.Nani amekuzuia kutest mitambo kwa dida. Sema ukitest akikuelewa mzee baba utaoa tuu maana analazimisha sana ndoa huyo bibi
Sio habari hiiBaada ya kuikimbia ndoa ya nne Dida shaibu amejitapa kuwa tayali yupo kwenye mahusiano mapya na mwakani 2022 ataolewa tena ndoa ya tano, Dida amesema wakati anafunga ndoa na mhe.Kumbilamoto kuna mtu mwingine ambae alikuwa nae kwenye mahusiano lakini mapenzi yao yalikufa baada ya yeye kuolewa,
Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.
Katika utetezi wake Dida anasema "kaachwa mama Neilson Mandela atakuwa yeye!!" na kuwataka watu waache kumdisi.
Ikumbukwe wakati anaolewa Dida alisema huyo ndiye atakaekuwa mume wake wa kufa na kuzikana.
View attachment 2059224
Mimi siwafahamu vizuri hawa wadada; mara sijui Dida, mara Dina, mara Gea! Hebu nijuze. Huyu ndo yule wa Wasafi FM aliyefunga ndoa miezi michache iliyopita, au?Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.
Duh! Basi she has serious problem ingawaje kwa wanawake wanaweza kuchukulia eti ana bahati!! Labda ni kweli ana bahati manake, Mungu anisamehe!Ndiye huyo