Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
walichonifanyia mods sina hamuWatugawie nasisi😎
Wanasubili waletewe kisha waingie maabara kudhibitisha kama inatibu au laa, sasa kama huna uwezo wa kutengeneza utajuaje kama hii ni dawa sahihi? Ila napita tuuVipi nasi wataalamu wetu wanajishughulisha kutafuta dawa ama wanasubiri na wao waletewe
😀😀
Madagascar president launches coronavirus 'cure' : The StandardSasa kama Wewe uliyeleta Uzi hujui unadhani Sisi ndiyo tutajua Ndugu? Haya ndiyo Madhara ya Likizo za Shule za hii CORONA.
Hivi inawezekekana ikawa huyu mama ndiye...!! Alisema anagawa bure na kataja namba za simu..Wadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
Tuwape ruhusa sasa wazee wa tiba za asili kama wanaweza kutuonyesha maajabu kama ya babu wa loliondoWanasubili waletewe kisha waingie maabara kudhibitisha kama inatibu au laa, sasa kama huna uwezo wa kutengeneza utajuaje kama hii ni dawa sahihi? Ila napita tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaindig kisenge ishu kama hz hao wanaojiita madaktar bingwa na wasomi wapo wapo tuWanasubili waletewe kisha waingie maabara kudhibitisha kama inatibu au laa, sasa kama huna uwezo wa kutengeneza utajuaje kama hii ni dawa sahihi? Ila napita tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww kijana!!!! Usituletee Tetezi za Upuzi....Wengine wanahasira na gonjwa hili.Wadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
Dadavua kidogo.Wamepata