Nzuguni one
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 1,157
- 481
Shida ni kwamba tumeweka kando miziziology yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli wamepata wanasema inatibu ndani ya siku saba
tuombe Mungu iwe kweli mana hali mbaya
Shida ni kwamba tumeweka kando miziziology yetu.
Kila nchi ina uwezo wa kupata Samunge yake. Tofauti ni madoido tu.Wadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
Wamepata
Mkuu hata mimi nilikuwa nawaza , hivi kweli hakuna madawa ya asili katika hili??Watu wa dawa asili fanyeni mpango basi...hiyo ndo sehemu tumewaacha mabeberu maili buku
kila ugonjwa una dawa shida sie binadam uwezo wetu wa kufikiri una kikomo
watu weusi hawaamini viral disease hazina tiba😊Kama kikombe cha babu tu,JK pia alikunywa. Hakuna dawa mpaka sasa ya kutibu Virus.
Maisha Ni fursa Kama Babu wa loliondo,wakipromote vema nchi yao hata Trump,Alibaba,biligates wataingia Madagascar hivo uchumi kupaaaaaaaaaaaaaaWadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
Watakuwepo;naona babu loliondo kaanza😆😆😆Mkuu hata mimi nilikuwa nawaza , hivi kweli hakuna madawa ya asili katika hili??
Watu wa dawa asili fanyeni mpango basi...hiyo ndo sehemu tumewaacha mabeberu maili buku
Wanasubiri mishahara ,kupokea mishahara ndiyo utafiti pekee wanao ujuaVipi nasi wataalamu wetu wanajishughulisha kutafuta dawa ama wanasubiri na wao waletewe