Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

Taarifa ni kuwa mfumo wa Huduma za Afya nchini Madagascar umeelemewa na wagonjwa, hospitali zote zimejaa wagonjwa, hali ni mbaya.

Serikali imeomba msaada wa mashine zaidi ya 1,000 za kupumulia. Hospitali zinapokea wagonjwa mahututi pekee kwa sababu wagonjwa wakejaa...

Ajabu na kweli pana watu wamenuna na kufura kwa hasira kwa habari hii ya kusikitisha kufahamika.

Kwa hakika hawawezi kuwa na majina mengine zaidi ya kuwa ni "wachawi au wanga" wenyewe.
 
Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
hii kwa mujibu wa tafiti mpya au?
 
Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Ila waliyokuwa wanakufa si walikuwa wanaonekana au pia ilikuwa wanakufa kimya kimya?
 
Ila waliyokuwa wanakufa si walikuwa wanaonekana au pia ilikuwa wanakufa kimya kimya?

Kwa vile majeneza yalikuwa yananunuliwa kisanii sanii labda hata kufa ilikuwa kisanii sanii tu mkuu.
 
Kwa vile majeneza yalikuwa yananunuliwa kisanii sanii labda hata kufa ilikuwa kisanii sanii tu mkuu.
Kama majeneza yalikuwa yananunuliwa sana kipindi hicho hivyo ni wazi kulikuwa na wingi wa vifo haikuwa siri,sasa sijajua kipindi hiki cha corona napo pia majeneza yananunulika sana Au ndio yananunuliwa kisirisiri?
 
Au tuwarudishie zile carton zao mbili za dawa tulizoenda kuzichukua kwa ndege yetu!
 
Hivi ule utafiti wa NIMR kuhusu dawa ya Madagascar umefikia wapi?
Maana NIMR nao waligeuka kuwa wapiga ramli kisa kuunga mkono juhudi za jiwe.
 
Hakika Mkuu maana nina Marafiki zangu wako Ngambo wanatushanga Wanasema sisi ni Binadam wa Aina gani😂😂
Ha haaa ..
Wanasema hivyo sababu hakuna vifo na wagonjwa wengi sababu ya COVID-19?
Labda ni watu wa Mungu wa kweli.
Labda tunakula vyakula vya asili.
 
Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Hii historia kiboko.
Ilikuwa mwaka gani huo?
Chanzo chako cha hii habari ni kipi?

Au hii ni fasihi?
 
Kama majeneza yalikuwa yananunuliwa sana kipindi hicho hivyo ni wazi kulikuwa na wingi wa vifo haikuwa siri,sasa sijui kipindi cha corona napo pia majeneza yananunulika sana? Au ndio yananunuliwa kisirisiri?

Umefanya utafiti kugundua biashara ya majeneza imedoda mkuu?
 
Umefanya utafiti kugundua biashara ya majeneza imedoda mkuu?
Mimi sijafanya utafiti kujua kwamba toka corona iingie Tz na biashara ya majeneza imenona na kuwa uhitaji umeongezeka au hali ipo vilevile tu kawaida,wewe kama umefanya utafiti unaweza kutumegea hapa huo utafiti wako.
 
Mimi sijafanya utafiti kujua kwamba toka corona iingie Tz na biashara ya majeneza imenona na kuwa uhitaji umeongezeka au hali ipo vilevile tu kawaida,wewe kama umefanya utafiti unaweza kutumegea hapa huo utafiti wako.

IMG_20200722_122251_971.jpg
 
Hospitali nchini Madagascar zimemeonya Kuzidiwa na idadi ya wagonjwa baada ya visa vya coronavirus kuongezeka.

Hali hii imekuja huku Rekodi mpya zikithibitisha visa vipya 614 na kufanya jumla ya wagonjwa kufikia 8,162 na vifo 69.

Madagascar iliyojizolea umaarufu kwa kusambaza dawa inayoitwa Covid-Organics, ambayo Raisi Rajoelina aliushawashi ulimwengu kuwa ni tiba ya Corona huku shirika la afya duniani likisema hakuna ushaidi kuwa kinywaji hicho kinafanya kazi dhidi ya Corona.

mkurugenzi wa Hospitali ya Andohotapenaka Nasolotsiry Raveloson alinukuliwa akiambia shirika la habari la AFP kuwa kwa hivi sasa wanapokea wagonjwa waliokatika hali mbaya tu (ICU)

Wakurugenzi katika hospitali zingine mbili pia waliliambia shirika la habari kuwa wamezidiwa sana.

Siku ya Jumatatu waziri wa afya aliandika barua wazi kwa mashirika ya misaada akiomba vifaa kama vifaa vya kupimia, vifaa vya kupumua na vifaa vya kinga kwa wafanyikazi wa afya.

Lakini mwandishi wa BBC Africa Catherine Byaruhanga anasema kumekuwa na kurudishwa nyuma kutoka kwa msemaji wa serikali ambaye alisema sio nafasi ya waziri kufanya ombi kama hilo.

Mapema mwezi huu Rais Andry Rajoelina aliweka tena kizuizi katika mji mkuu hadi Julai 26, akiruhusu mtu mmoja tu kwa kila kaya atoke kwa chakula na dawa.

904760-twitter-4.jpg
 
Mganga hajigangi.. Uenda mmarekani amevizidishia nguvu ivyo virusi
 
Kwani hao hawawezi kuuumwa kimya kimya tu majumbani ili wafiche isijulikane kama kuna Corona kama tunavyoambiwa Tz kuwa ndio tunafanya hivyo? Tz kuko kimya tunaambiwa hospitali zinakataa wagonjwa wa corona hivyo watu wanajiuguza nyumbani na wengine wanakufa kimya kimya.

Wewe umefiwa na ndugu wangapi? Unajua unaposema kitu jaribu kuwa hata umeeshuhudia.
Madagascar ilikuja na option ya dawa moja tu. Na sijui kama kweli ingetosha kwa kila mtu kuipata na hapo ndipo walipobugi. Hata sisi watanzania tuongeze uzalishaji wa tangawizi na vitunguu na malimao la sivyo nasi itakuwa ni shida kidogo
 
Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Acha uongo mkuu? Kigoma haiko ktk miji iliyowahi athiriwa vibaya na vvu.Hio taarifa umeipata wapi?
 
Back
Top Bottom