Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

Hio hali ilitokea kama ilivyo sasahivi watu hawaamini kama kuna korona
Ilitokea kigoma gani? Mimi mzawa wa kigoma katkika ukoo ni mtu mmoja tu aliugua ukimwi.Hakuna mwingine zaidi ya miaka ishirini na ukoo w apande zote una watu zaidi ya 300.Wewe kwenu ndio walipukutika,sisi tupo tunadunda..Kigoma unaweza piga hata mademu watano na usipate vvu Ila sio Njombe,Iringa Mbeya,Bukoba.kigoma ni kati ya mikoa yenye takwimu ya chini ya vvu kulinganisha na mikoa mingine.
 
Wewe umefiwa na ndugu wangapi? Unajua unaposema kitu jaribu kuwa hata umeeshuhudia.
Madagascar ilikuja na option ya dawa moja tu. Na sijui kama kweli ingetosha kwa kila mtu kuipata na hapo ndipo walipobugi. Hata sisi watanzania tuongeze uzalishaji wa tangawizi na vitunguu na malimao la sivyo nasi itakuwa ni shida kidogo
Kwahiyo wewe unaamini kwamba watanzania wametumia tangawizi na malimao ndio maana hakuna shida ya corona tofauti na wengine?

Hivi unaweza kujua ni idadi gani ya watanzania waliyotumia hizo tangawizi na malimao hadi ufikiri hiyo ndio sababu ya watanzania kutosumbuliwa sana corona?
 
Baada ya Rais wa Madagascar kuipigia chapua dawa yao ya mitishamba kwamba inatibu corona . Sasa hivi hali ya corona nchini Madagascar sio.

Sasa hivi anaomba msaada kwenye Taasisi za kimataifa kwa ajili ya janga la corona Mitishamba yao imefeli kabisa.

Raia wengi wa madagascar wanaishi kwenye msongamano mkubwa sana kitu kinachochangia kuongezeka kwa ugonjwa huo.

Poor African leaders
 
Jitahidi kuwajua wazungu na biashara yao kubwa katika dawa za binadamu.

Ni zaidi ya madawa haramu ya kulevya.
 
Back
Top Bottom