Taarifa ni kuwa mfumo wa Huduma za Afya nchini Madagascar umeelemewa na wagonjwa, hospitali zote zimejaa wagonjwa, hali ni mbaya.
Serikali imeomba msaada wa mashine zaidi ya 1,000 za kupumulia. Hospitali zinapokea wagonjwa mahututi pekee kwa sababu wagonjwa wakejaa...
hii kwa mujibu wa tafiti mpya au?Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Ila waliyokuwa wanakufa si walikuwa wanaonekana au pia ilikuwa wanakufa kimya kimya?Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Ila waliyokuwa wanakufa si walikuwa wanaonekana au pia ilikuwa wanakufa kimya kimya?
Kama majeneza yalikuwa yananunuliwa sana kipindi hicho hivyo ni wazi kulikuwa na wingi wa vifo haikuwa siri,sasa sijajua kipindi hiki cha corona napo pia majeneza yananunulika sana Au ndio yananunuliwa kisirisiri?Kwa vile majeneza yalikuwa yananunuliwa kisanii sanii labda hata kufa ilikuwa kisanii sanii tu mkuu.
Ha haaa ..Hakika Mkuu maana nina Marafiki zangu wako Ngambo wanatushanga Wanasema sisi ni Binadam wa Aina gani😂😂
Hii historia kiboko.Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Kama majeneza yalikuwa yananunuliwa sana kipindi hicho hivyo ni wazi kulikuwa na wingi wa vifo haikuwa siri,sasa sijui kipindi cha corona napo pia majeneza yananunulika sana? Au ndio yananunuliwa kisirisiri?
Mimi sijafanya utafiti kujua kwamba toka corona iingie Tz na biashara ya majeneza imenona na kuwa uhitaji umeongezeka au hali ipo vilevile tu kawaida,wewe kama umefanya utafiti unaweza kutumegea hapa huo utafiti wako.Umefanya utafiti kugundua biashara ya majeneza imedoda mkuu?
Mimi sijafanya utafiti kujua kwamba toka corona iingie Tz na biashara ya majeneza imenona na kuwa uhitaji umeongezeka au hali ipo vilevile tu kawaida,wewe kama umefanya utafiti unaweza kutumegea hapa huo utafiti wako.
Point sio kudoda kwa sababu watu walikuwa wanakufa before hiyo corona kwahiyo biashara ilikuwa inafanyika tu,point hapa ni hiyo biashara kuongezeka baada ya uwepo wa corona. Kama tulivyoona biashara ya Barakoa ilivyokuwa nzuri kipindi cha corona.
Ngoma ikivuma sana hupasuka...Dawa si wanayo? Wameshindwa kunywa?
Kwani hao hawawezi kuuumwa kimya kimya tu majumbani ili wafiche isijulikane kama kuna Corona kama tunavyoambiwa Tz kuwa ndio tunafanya hivyo? Tz kuko kimya tunaambiwa hospitali zinakataa wagonjwa wa corona hivyo watu wanajiuguza nyumbani na wengine wanakufa kimya kimya.
Acha uongo mkuu? Kigoma haiko ktk miji iliyowahi athiriwa vibaya na vvu.Hio taarifa umeipata wapi?Ukimwi nao watu walipuuza na kudai ni fununu , Mwanzoni mwa miaka ya 80 Mji wa kigoma ulipukutika kwa VVU mpaka serikali ikaingilia kati, Sababu watu walikua hawaamini kama kweli kuna kitu kinaitwa ukimwi na ndicho kinachomaliza watu, Ikabidi serikali kuruhusu raia kitoka nchi zilizoko jirani na Kigoma waingie kigoma waweke makaazi ili waendeleze mji kwa sababu wenyeji karibia robo tatu wameangamia kwa kupuuza taarifa za kuenea kwa kirusi cha ukimwi, Ndio maana kigoma kuna watu wana ndugu zao kutoka Nchi jirani zilizokua na migogoro ya kisiasa wakati huo.
Hio hali ilitokea kama ilivyo sasahivi watu hawaamini kama kuna korona.Acja uongo mkuu? Kigoma haiko ktk mini iliyowahi athiriwa vibaya na vvu.GHio taarifa umeipata wapi?