Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

Hio hali ilitokea kama ilivyo sasahivi watu hawaamini kama kuna korona
Ilitokea kigoma gani? Mimi mzawa wa kigoma katkika ukoo ni mtu mmoja tu aliugua ukimwi.Hakuna mwingine zaidi ya miaka ishirini na ukoo w apande zote una watu zaidi ya 300.Wewe kwenu ndio walipukutika,sisi tupo tunadunda..Kigoma unaweza piga hata mademu watano na usipate vvu Ila sio Njombe,Iringa Mbeya,Bukoba.kigoma ni kati ya mikoa yenye takwimu ya chini ya vvu kulinganisha na mikoa mingine.
 
Kwahiyo wewe unaamini kwamba watanzania wametumia tangawizi na malimao ndio maana hakuna shida ya corona tofauti na wengine?

Hivi unaweza kujua ni idadi gani ya watanzania waliyotumia hizo tangawizi na malimao hadi ufikiri hiyo ndio sababu ya watanzania kutosumbuliwa sana corona?
 
Baada ya Rais wa Madagascar kuipigia chapua dawa yao ya mitishamba kwamba inatibu corona . Sasa hivi hali ya corona nchini Madagascar sio.

Sasa hivi anaomba msaada kwenye Taasisi za kimataifa kwa ajili ya janga la corona Mitishamba yao imefeli kabisa.

Raia wengi wa madagascar wanaishi kwenye msongamano mkubwa sana kitu kinachochangia kuongezeka kwa ugonjwa huo.

Poor African leaders
 
Jitahidi kuwajua wazungu na biashara yao kubwa katika dawa za binadamu.

Ni zaidi ya madawa haramu ya kulevya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…