Madai na hoja za muungano, huja kipindi tukiwa na Viongozi dhaifu?

Madai na hoja za muungano, huja kipindi tukiwa na Viongozi dhaifu?

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Inaweza kuwa hoja yangu ikaibua hisia tofauti tofauti

Lakini najaribu kurudisha akili zangu nyuma,

Hoja na malalamiko kuhusu muungano wetu ni kama zimekuwa zikiibuka pindi tunapokuwa na viongozi wapole wapole!

Mbona haikuwa hivi kwa Rais Chuma cha pua Hayati John Magufuli

Hii inamaanisha, nchi yetu siku zote itahitaji viongozi wakali mithili ya dikiteta
 
Inaweza kuwa hoja yangu ikaibua hisia tofauti tofauti

Lakini najaribu kurudisha akili zangu nyuma,

Hoja na malalamiko kuhusu muungano wetu ni kama zimekuwa zikiibuka pindi tunapokuwa na viongozi wapole wapole!

Mbona haikuwa hivi kwa Rais Chuma cha pua Hayati John Magufuli

Hii inamaanisha, nchi yetu siku zote itahitaji viongozi wakali mithili ya dikiteta
Magufuli alijiapiza kuijenga nchi,tulimuunga mkono lkn Mungu akaona imetosha,hawa watu hawapingi muungano wanataka aina ya muungano wanayodhani wao inafaa,kwahiyo tutawapinga kwa hoja
 
Mmoja aje hapa anipe faida za muungano... Asije na zile faida za kiwaki tulizozisoma form 2
 
Back
Top Bottom