Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Jicho la tatu linaniambia kuwa huenda Mama ana agenda ya Katiba Mpya ila anajua wenzake hawaitaki, hivyo kaamua kuwatumia CHADEMA kwa siri kubwa kuamsha madai ya Katiba Mpya.
CHADEMA wanaweza kuendelea na hii agenda bila vikwazo huku MATAGA wakiwa hawelewi halafu mwisho wa siku Mama anawaunga mkono CHADEMA.
Ingawa CHADEMA wanaonekana kumshambulia Mama, inawezekana ni mkakati tu wa kisiasa na ni siri ya viongozi wachache na wa wa juu wa CHADEMA.
Sitashangaa pia yakaibuka makundi mengine kuunga mkono hoja ya Katiba Mpya.
Katiba Mpya hata Wazanzibar wanaitaka kwani itasaidia kuondoa au kupunguza kero za Muungano.
Mama ni silent killer.
CHADEMA wanaweza kuendelea na hii agenda bila vikwazo huku MATAGA wakiwa hawelewi halafu mwisho wa siku Mama anawaunga mkono CHADEMA.
Ingawa CHADEMA wanaonekana kumshambulia Mama, inawezekana ni mkakati tu wa kisiasa na ni siri ya viongozi wachache na wa wa juu wa CHADEMA.
Sitashangaa pia yakaibuka makundi mengine kuunga mkono hoja ya Katiba Mpya.
Katiba Mpya hata Wazanzibar wanaitaka kwani itasaidia kuondoa au kupunguza kero za Muungano.
Mama ni silent killer.