Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Huwa mie nashangaa sana CCM kujinasibu kwamba wanafanya mambo makubwa mpaka wanakubalika,cha kushangaza uchaguzi wanafanya figisu kibao kuwaengua wapinzani,kama wanafanya mazuri why waogope wapinzani ambao miaka mi4 hawafanyi siasa zozote?Baada ya ccm na serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
Kujaza form hamjui hiyo katiba mtaombea kwa nani hali jk aliweka mkatoka nduki mkijuwa mtashinda uchanguzi na lowassa wenu mwisho kawaacha solemba huko na makelele yenuHuwa mie nashangaa sana CCM kujinasibu kwamba wanafanya mambo makubwa mpaka wanakubalika,cha kushangaza uchaguzi wanafanya figisu kibao kuwaengua wapinzani,kama wanafanya mazuri why waogope wapinzani ambao miaka mi4 hawafanyi siasa zozote?
Hayo ni ya mwanzo tu. Yapo mambo mengi ya kupigania. Kubwa ni uwanja sawa wa kufanya siasa. Hata iletwe katiba ya marekani, kama utawala utakuwa huru kuivunja ni kazi bure.
CAG analindwa na katiba hii hii lakini wamemfukuza kwa madai feki kuwa amemaliza kipindi chake.
Mikutano na maandamano ni haki ya kila mwananchi, lakini imezuiwa kinyume kabisa na katiba.
Lissu alipigwa risasi mchana kweupe, na bado yupo hospitali, lakini wakadai hawajui alipo, wakamvua ubunge.
Wagombea wote wa vyama vya upinzani wameenguliwa kwa madai kuwa wamekosea kujaza fomu, bila ushahidi wa makosa kuonyeshwa.
Vyombo vya habari vya uma vimegeuzwa vyombo vya kuifanyia CCM propaganda na kumsifia rais masaa 24 kinyume na katiba na taratibu za utawala bora.
Pesa zinachotwa kwa matrilioni tukiambiwa zimeenda kununua ndege bila kufuata taratibu za kisheria za manunuzi, na bila bunge kuishinisha bajeti husika.
Huu ni upuuzi mtupu.
Baada ya ccm na serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
Kukiwa na tume huru na fair election ,CCM saa nne asubuhi watu wakitoka misa ya kwanza tu wanadondokea PUA......Nina uhakika 2015 ENL alishinda sema ndio hivyo Lubuva alichomoa battery.Kujaza form hamjui hiyo katiba mtaombea kwa nani hali jk aliweka mkatoka nduki mkijuwa mtashinda uchanguzi na lowassa wenu mwisho kawaacha solemba huko na makelele yenu
Yaani ni bora kugomea tu uchaguzi wote watu wapambane kivingine kumuondoa mkoloni mweusi kama Nyerere alivyopambana kumuondoa mzungu na kupata uhuru,Wapinzani wapambane UNO,WB,HRI etc kudai haki.Ndio masharti ccm itimize watu warudi kwenye sanduku!
Bila hapo hakuna mtu anarudi!
Na sasa hivi ukawa nzima inagomea kila kitu!
Hadi TLP na wasenge wengine
Yaani ni bora kugomea tu uchaguzi wote watu wapambane kivingine kumuondoa mkoloni mweusi kama Nyerere alivyopambana kumuondoa mzungu na kupata uhuru,Wapinzani wapambane UNO,WB,HRI etc kudai haki.
Rais aondolewe kinga ya kutoshtakiwa.Great..
1. Katiba mpya
2. Time guru ya uchaguzi
3. Utawala Wa sheria
4. Kila mhimili kujitegemea
5. Hekima, Umoja na amani vitamalaki
6. Utu Wa watu
7. Wananchi ndio wawe na sauti juu ya serikali yao
Wanafanya mambo ya kipuuzi sana,watu tunakatwa kodi wanatembelea kwenye ma VX na bado tu wanataka ktupanda kichwani,kama wanakubalika waache uchaguzi ufanyike huru,mambo ya figisufigisu na kuteka/kukata wapinzani inaonyesha ni wazi hawakubaliki na ni wazi wanajua kama hawapendwi....Mwananchi anataka mzungo wa fedha tu uwe mzuri,mazingira mazuri ya kufanya biashara,hayo mambo ya midege stigolaz wakati hana hata 100 mfukoni hawezi kukuelewa.Kweli kabisa mkuu!
Mawe anadhani upumbavu aliokua anaufanya chattle anapita bila kupingwa kwa kuteka opponents wake wasirudishe fomu ndio alete kwenye taifa zima!
Zee jinga sana hili!
Hivi yamebaki kwa wapinzani au watanzania? kwa maslahi ya muda mrefu katiba nzuri na bora inawafaa hata hao ccm ila kwa maslahi ya muda mfupi hii ni bora sanaBaada ya ccm na serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
Baada ya ccm na serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
Sawa mkuu mawazo mazuri sana ndugu, wenye nyongeza yoyote karibuni.Great..
1. Katiba mpya
2. Time guru ya uchaguzi
3. Utawala Wa sheria
4. Kila mhimili kujitegemea
5. Hekima, Umoja na amani vitamalaki
6. Utu Wa watu
7. Wananchi ndio wawe na sauti juu ya serikali yao
Una akili kweli wewe? yaani watu maelfu halafu wa upinzani tu ndio hawajui kujaza fomu? Inaingia akilini kweli?Kujaza form hamjui hiyo katiba mtaombea kwa nani hali jk aliweka mkatoka nduki mkijuwa mtashinda uchanguzi na lowassa wenu mwisho kawaacha solemba huko na makelele yenu
Ni kweli mkuu hili ni suala la watanzania wote wala sio uongo.Sio upinzani tu, Bali Ni watanzania wote
Na hii angalia huyo mpumbavu kukizi ndio kujua kujaza fomu?Kujaza form hamjui hiyo katiba mtaombea kwa nani hali jk aliweka mkatoka nduki mkijuwa mtashinda uchanguzi na lowassa wenu mwisho kawaacha solemba huko na makelele yenu