Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,928
- 2,867
Tulia sasa.Yaweza kua wapo na hii SI uongo.
Lakini Usalama hawana intelligence kubwa hua wanakamata na Watu wasuohusika na kuwaua hapo ndo ubaya unapooonza
Mfano mm hua nasali usiku misikitini hii tabia nilikatazwa Kwa maana itanifanya nitafsitiwe kua no gaidi.
Siyo Hauna ni huna...Hauna akili.
Bure kabisa.
Hata iweje,kuingia na viatu msikitini watu wakifanya Ibada Kisha kumpiga mtu risasi ibadani ni ufedhuli,kamfuatilia kote huko hakumpiga risasi kaenda mpigia msikitiniZito aache kuongea habari asizozijua sawasawa! Leo amesimama hapo kupiga siasa sababu ya kazi Vijana wetu walizozifanya. Kwa level yake na ukongwe wake napata tabu kuelewa kwamba alikuwa hujui kilichokuwa kinaendelea hapa nchini.
Najua tatizo lako huna busara kwenye majibu ndo mana Nyuzi kama hizi hua tuaacha kuchangia mana hata ukisema jambo kabehi lazma zowepo.Acha zako. Wale magaidi walioua watu kule Lushoto sio waislamu wa bongo?
JPM alikuwa katili sana, hakuheshimu hata nyumba za ibada na maisha ya binadamu.
Sasa sijui anamwambia nini Mungu huko.
Nataka nikuambie tu kuwa ugaidi upo hapa nchini. Nilikuwa na jamaa yangu alikiwa anaingiziwa pesa na magaidi toka nje kwenye akaunti yake na alidakwa .Najua tatizo lako huna busara kwenye majibu ndo mana Nyuzi kama hizi hua tuaacha kuchangia mana hata ukisema jambo kabehi lazma zowepo.
Umeshinda mkuu
Nkajua utakuja na hoja kumbe unalako jambo.
Kaa ukijua intelligence ya nchi yako pendwa haijui kitu kabisa .Tulia sasa.
Hayo wewe ndio unayajua.Kaa ukijua intelligence ya nchi yako pendwa haijui kitu kabisa .
Tunazidiwa hata na ndugu zetu Rwanda Wana Usalama wenye uwezo mkubwa WA kumfatilia mtuhumiwa mbali na kuua msikiti mzima.
Kubali lataa Usalama hawajui mbinu na hawana uwezo WA kukamata gaidi ila huu hovyohovyo Ili kurudhisha nafa zao
Hakuna alokataa kuhusu ugaidi lakini Usalama hawana uwezo,Nataka nikuambie tu kuwa ugaidi upo hapa nchini. Nilikuwa na jamaa yangu alikiwa anaingiziwa pesa na magaidi toka nje kwenye akaunti yake na alidakwa .
Kama hujui chchte kuhusu hayo mauaiji utakataa moka kufa.
Kuna waislam misikitini wapo kama rada tuuu mule
Misikiti karbu yote iliyopo Dodoma Usalama ni wengi kuliko hata waumini.
Ukiwa muislam kanzu na ubwabwa hutaelewa.
Zitto masunzua ni mfia dini .Kenge kabisa huyu.
Najua kwamaana niliwahi kamatwa na nikatoka Kwa kudra na muumba.Hayo wewe ndio unayajua.
Yaweza kua wapo na hii SI uongo.
Lakini Usalama hawana intelligence kubwa hua wanakamata na Watu wasuohusika na kuwaua hapo ndo ubaya unapooonza
Mfano mm hua nasali usiku misikitini hii tabia nilikatazwa Kwa maana itanifanya nitafsitiwe kua no gaidi.
Dah!.. hizi tuhuma zinahitaji uchunguzi kamili.... anyway..... Sheikh Ponda alishawahi kulizungumzia hili tukio miaka kadhaa nyuma.
Mimi binafsi niliwahi kamatwa bila kosa nkafikoshwa tazara from kahama kisa tu tuna nguv kubwa ya imaani.
Ni bahat Leo kuwepo wenzangu mpka Leo hawajulikani walipo na wengine mashehe nlishuhudia wakifa mbele yangu.
Narudia Tena usipokua muislam huez elewa.
Ukisali sana utaitwa gaidi tuuu.
Hata wewe huez amini ndo mana hua tua ogpa dondosha Bondo Kali kama hizi.Na kuna watu watachukulia hiki ulichokiandika kama ukweli.