jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ugaidi mbaya ni kumuua mtu anayeshukiwa ugaidi bila kumfikisha katika vyombo vya haki ili apate haki yake kwa mujibu wa sheria,
Kuna hukumu zingine hazihitaji mahakama,mana hayo magaidi huwa yanaua watu bila kuwasikiliza kwanini yao yasikilizwe?