Madaktari acheni kutuchanganya na hii kauli yenu tata ya Critical but Stable


maneno meengi alafu pumba tupu.

haya mashudu jadili na punguani wenzako.

Nakushauri rudi shule.
 
Watu wanakaa ICU miezi mitatu nini hizi siku 14 tu. Critical but stable tuwaulize walioingia madarasani watueleze maana yake.

Hili ndilo jibu nililokuwa nalitaka. Asante Mkuu kwa mchango wako na kunielewa kwani tayari kuna Wapumbavu fulani wanaojifanya wananijua sana wanadai kuwa nimeanzisha huu uzi kumsema Tundu Lissu. Kuna Watu Wapumbavu mno chini ya mbingu hii. Yaani Kuugua kwa Tundu Lissu huko jijini Nairobi ndiyo kutufanye na sisi wengine tusihoji au kutaka ufafanuzi wa Kitabibu au Kitiba kutoka kwa Madaktari. Hii ni Forum ya Madaktari je GENTAMYCINE kuja na hoja yangu humu ni dhambi?
 
mtu anayeongea sana huwa anakosa muda wa kufikiri, matokeo yake anaonge pointless.

sasa huyu mleta mada anaongea sana hadi anafilisi akili yake mwenyewe kwasababu hajipi muda wa kujifunza na kutafakari.

Foolish.
 
Swali nitakalokuja kujiuliza ni kwa vipi aliingia kwenye critical au commatose state ??
 
GENTAMYCINE kama unavyojiita. Mungu akupe hekima...................................................... Na uendelee na hiyo shida yako. Lakini letu moja Lissu atapona na utashudhudia ukuu wa Mungu.....

Narudia tena kusema na natoa ufafanuzi kuwa sijaanzisha huu uzi kwa nia ya Kumnanga Tundu Lissu bali nimeanzisha huu uzi ili niweze kupata ufafanuzi wa Hoja yangu na nilitaka sana Madaktari wabobezi ndiyo wanipe ufafanuzi lakini nashangaa wanaokuja kunijibu ni Wapumbavu kadhaa ambao fikra zao 24/7 zimeganda tu katika Siasa.

Hii Forum ni ya Kidaktari hivyo nimeleta suala langu binafsi na Kidaktari nikiamini kuwa Madaktari wapo wengi humu na watanielimisha hivyo kama kuna Mtu yoyote anawashwawashwa kwa kudhani kuwa huu uzi ninamlenga Tundu Lissu huo ni mpango wake na wala hainitishi au hainizuii Mimi kuendelea kutafuta maarifa zaidi kutoka kwa wenye fani zao.

Kwahiyo Familia inayouguliwa sasa Tanzania nzima ni ya Mheshimiwa Lissu tu peke yake? Kwahiyo Sisi wengine hatuuguzi au hatuuguliwi huku Tanzania? Sikudhani kama kumbe bado Tanzania kuna Watu Wapumbavu kabisa wa Kiwango hiki cha kutisha kama siyo cha kusikitisha.
 
Mkuu ww unachotakiwa kumuombea mgonjwa apone hayo mengi hayana maana kwa wakati huu
 
Mfano mzuri ushawahi skia kitu kina itwa COMA..? Chuguza uone mtu anaweza kaa na COMa kwa mda gani..🙁 lakn bado yuko stable.

Asante kwa ufafanuzi wako huu Mkuu na nahisi Wewe utakuwa ni Mwanataaluma kabisa wa Udaktari. Nimeanza sasa kukuelewa na naamini Madaktari wenzio wengi wakija watazidi kunielewesha zaidi juu ya hii Kauli tata na nisiyoipenda ya Critical but Stable.
 
Critical ni kuwa mgonjwa clinically yuko very ill but stable ni kuwa vital sign is ok and no sign of deterioration...the death is not knocking the door but its near enough to hear the knocking..
Majibu ya walioingia madarasani ndiyo haya, wengine tuliishia play ground
 
Msigwa amesema amemuona mwanzo hadi mwisho (Jana aliporudi nchini), kwahiyo ondoa shaka mtoa mada. Jemedali yupo hai na atapona tuendelee kumsihi Mungu.

Madaktari kumruhusu apelekwe Marekani kwa matibabu zaidi, hawawezi na wala hawataweza kuruhusu kutokana na sababu mbalimbali...nikizihisi baadhi;
1. Hawawezi kukubali kushindwa kwa urahisi hivyo
2. Wanalinda heshima ya hospitali yao, isijeikagundulika waonekane wameshindwa kutibu wagonjwa...bora mgonjwa limpate lolote akiwa hapo na si kukiri kushindwa
3. Wamepata fedha nyingi za dharula, kibiashara ni lazima uendelee kumshawishi mgonjwa aendelee kubaki kwako na ikiwezekana umtishe asipate mawazo ya kumhamisha mgonjwa wake
4. Endapo limetokea baya kwa mgonjwa na unapata kigugumizi kumjuza muuguzi wake, na ikaenda zaidi yule muuguzi wake anataka kumhamisha mgonjwa kumpeleka mbele zaidi...basi huweza kutumia busara zaidi za kumfanya asijaribu kufanya hivyo na kumuaminisha kwamba akijaribu kufanya hivyo anaweza akatengeneza madhara zaidi. Mda huohuo wakiwa wanaandaa mazingira psychologically ya kumjuza kuwa mgonjwa wake si riziki.....(nisieleweke vibaya kwa mgonjwa wetu)
5. Mgonjwa watu yu salama na Mungu anaendelea kumlinda, tuzidishe maombi kwa kila mmoja na imani yake. Mtoa mada usilete mada km hizi wakati km huu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…