Madaktari acheni kutuchanganya na hii kauli yenu tata ya Critical but Stable

Hoja yangu ni hiyo Kauli ya Critical but Stable tu na hakuna jingine tafadhali. Kwahiyo unataka kumaanisha kuwa Mimi GENTAMYCINE nina hamu huyu Mgonjwa wangu afariki dunia? Mkuu hebu tengua upesi kauli yako na nitake radhi sasa hivi.
mimi nimekuelewa sana mzee. hii kauli niliiskia kwa mara ya kwanza kipindi mandela anaumwa,nikajiuliza sana maana ya hii kauli nini. na baada ya muda si mrefu akafariki. kwa kifupi ukipewa hii kauli na madaktar kajiandae kuzika
 


Tatizo ni kwamba hadi sasa CDM kila jambo likija jukwaani wanadhania wanasemwa wao au mtu anamzungumzia lisu, kitu ambacho siyo sahihi kufanya kila mtu awaze juu ya lisu wakati wapo watu wengine pia wana matatizo kama ya lisu au hata zaidi.

Mfano, msiba wa Familia ya Teu ni simanzi kubwa sana kwa Taifa, ndugu na jamaa.

Ila ukiandika tu Uzi kuhusu msiba huo wa familia ya Teu wao wanaaza kusema nataka kuhamisha mada ya lisu, sasa hivi lisu ndiyo habari ya mjinj na watachafua Uzi wote.

Ndiyo kama kwako unahitaji kujua matumizi ya usemi huu "Critical but stable" na maana yake na hali halisi ya mgonjwa.

Ila naona, wengi wanaandika mara "hafi ng'o, oooh oooh tunamlipia" , tunamuombea" sasa nashindwa kuelewa mbona wewe kwenye huu uzi mbona hujataja jina la mgonjwa au lisu!?

Any way, watoto wa kambo na yatima ni ngumu sana kuelewa kuwa wanathaminiwa na familia ambazo siyo zao.
 
Nimecheka sana yaani tatizo la watu Wa Jf hawasomi maelezo ya mwanzo kwa umakini wanakimbilia kutoa shiit yaani ndio Hawa mtihani anajibu bila kusoma maelekezo mngemuelewa huyu kaka msinge lopoka shiit

Asante kwa kunielewa Mkuu. Hiki ndicho Kizazi cha sasa cha Kipumbavu kilichopo na nadhani sasa hata Wewe umeshagundua ni kwanini Wanafunzi wengi nchini Tanzania huwa wanafeli vibaya sana Mitihani yao kwani tatizo lao kubwa ni Kukurupuka na kuwa na Kiherehere cha kukimbilia kujibu maswali pasipo / bila hata kusoma instructions vizuri na kuyaelwa maswali yanataka nini au yanasemaje.

Huwa nawapenda sana Members wenye akili kubwa na nzuri kama zako Mkuu humu Jamvini JF. Safi sana na hongera mno.
 

Nahisi hii post imekuja katika wrong forum Mkuu. Hapa hoja iliyopo mezani ni hii Kauli tata / changanishi ya Kidaktari isemayo Critical but Stable na siyo huo upuuzi / upupu wako uliouandika. Siku nyingine uwe unajitahidi Kwanza kusoma uzi wote vizuri na uuelewe ili unapokuja kuchangia humu tuweze kushawishika kuwa na Wewe ni Kipanga mwenzetu ila ulichoandika ni kinyume na neno Kipanga.
 
Usijali mkuu kikubwa maelezo ya kipumbavu yapotezee jali maelezo yamsingi yafanyie kazi
 
Mkuu GENTAMYCINE mimi sio mtaalamu wala docta ila pitiapitia zangu nimeokota huko haya maelezo...

Wataalamu watafafanua zaidi kiundani hata kwa kiswahili

Critical means severely ill, not out of the danger zone, stable means no further deterioration e.g. no new problems with circulation, ventilation/oxygenation (breathing or mechanical ventilation), kidney function, liver function, bowel function, blood clotting and brain function as far as can be gauged in these very sick patients often heavily sedated.
Critical but stable can also apply to younger patients.

In layman's terms, critical but stable means someone who is severely ill but their condition is not deteriorating at the present time. In other words, the doctors cannot predict what will happen, but the patient is very ill.

Source:
Forumsuk.culture.language.english


Critical = "life-threatening"
stable = "getting neither worse nor better"
Someone whose life is threatened can have their condition worsening or improving, while at the same time still remaining life-threatening. Consider someone whose heart is beating irregularly... it can either stop completely (getting worse) or beat more regularly but still be dangerous (getting better). Stable implies there's no change in the condition, even though that condition remains serious.
 

Asante sana kwa maelezo yako Kuntu / Mazuri kabisa Mkuu na nimekuelewa. Nyie ndiyo Members ninaowata na ninaowapenda humu JF kwani mna akili halafu mnajua pia kutumia vizuri akili zenu na hampo kama wale wabobezi wa Siasa za majitaka ambao wanadhani ni wao tu pekee ndiyo wanauguza ila Sisi wengine huku hatuuguzi.

Sasa Mkuu naomba nikuulize kidogo tu kwahiyo kwa haya maelezo yako ndiyo unataka kusema kwamba huyu Mgonjwa wangu hatofariki? Kwahiyo tuzidi kuwa na imani nae na ikiwezekana niendelee kuhimiza michango hapa kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki ili aendelee kutibiwa kwani tunapanga kumsafirisha kumpeleka Hospitali ya Bahari Barabara na kumtoa hapa Hospitali ya Muhitwo.

Nitashukuru ukinijibu Mkuu.
 
Neno hilo ni lugha inatumika sana na madaktari kuwasiliana, unachanganyikiwa maana umezoea maneno kama comrade, kidumu chama kwahyo hilo ni neno geni mitaa ya lumumba
 
Tit for tat
 
Hamna daktari mpumbavu wa kukupa hiyo siri eti wanapenda kutumia kauli hiyo kuwaandaa kisaikolojia wenye mgonjwa

Wewe endelea na ramli zako tu
 
mimi nimekuelewa sana mzee. hii kauli niliiskia kwa mara ya kwanza kipindi mandela anaumwa,nikajiuliza sana maana ya hii kauli nini. na baada ya muda si mrefu akafariki. kwa kifupi ukipewa hii kauli na madaktar kajiandae kuzika

Ubarikiwe kwa kuwa mmoja wa Watu wenye akili zilizotukuka na ambao mnamuelewa vizuri sana GENTAMYCINE humu. Tupo wachache sana humu Mkuu hivyo ringa na jivunie kwa kuwa Kipanga / Mwerevu.
 

Safi sana Mkuu na nazidi kufurahi na Wewe na kuamini kuwa hata uwezo wako wa akili ni mkubwa mno kwani ili kuweza kumuelewa kabisa / vilivyo GENTAMYCINE na Wewe pia yakupasa uwe na akili nyingi na kubwa vinginevyo kila siku utakuwa unaniona Mimi mbaya kumbe Wewe akili zako ndizo mbaya.

Mkuu nakukubali sana na naunga mkono kwa 100% yote uliyoyaandika hapa. Kula likes zangu za kutosha.
 

Sasa mbona hujatutafsiria kwa Kiswahili Mkuu? Mfano kama Mimi sijui Kiingereza kabisa na naamini nipo na wenzangu wengi tu hivyo ulichokiweka hapo hatujakielewa halafu na hata Kamusi zenyewe hatuna hapa. Wakati ukijiandaa kunijibu labda nikuache tu na swali Mkuu kwakuwa Wewe unajua Kiingereza hicho je kwa hayo maelezo unadhani huyu Mgonjwa wangu ataishi au tuanze kujiandaa kwa huzuni na maombolezo? Naomba maana ya Kiswahili sanifu kabisa cha maneno Critical but Stable.

Nitashukuru ukinijibu Mkuu.
 
Pole mtoa mada GENTAMYCINE. Acha utoto sio kila siku unaandika hayo hayo unafurahia sana watu wakawa na wasiwasi. Una bet kwenye afya na uhai wa watu wengi? wewe ni Mungu. Mbona unafanya mzaha sana! Afya ya mtu mwingine unaifanyia mbwembwe na kuitungia mashahiri leo unaandika hivi jana uliandika vile!!. Kumbuka hujafa hujaumbika Bwege wewe!! Yaani utafikiri umetoka kuzimu. Usicheze sana kwa kuandika andika mashahiri kwa ku bet maisha ya watu wengine. Angekuwa Baba yako au mjomba wako ungefanya unayoyafanya. Not Good bro!! Tuwaombee kwa Mungu na sio kuwazihaki unafikiri alipenda awe hivyo? Pumbavuuu!!!
 
Sikutegeme kabsa watu watoe maoni kinyume na neno critical but stable, sasa nashangaa watu wanaleta maoni na hisia zao binafsi. .

Ustarabu ni kitu cha bure kabsa hasa unapokuwa unachangia hoja ya MTU ambaye pengine hata humfahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…