Madaktari acheni kutuchanganya na hii kauli yenu tata ya Critical but Stable

Bwana usigombane na watu ngoja nokusaidie "critical but stable " no kwamba hali si nzuri lakini imeimarika au hakuna mabadiliko hasi halibyake haiporomoki wala hapati nafuu significant yaani yupo yupo tu na hakuna jinsi ya kusaidia bali kujaribu ku maintain hali hiyo hoping itabadilika for the better!hapo no pale mnapofanya tiba zote halafu mnabakia kusubiri mwili ujitibu wenyewe !
Kwa kumlizia hofu yako ni sahihi upande mmoja hutokea kesi mgonjwa huna la kumfanya bali ni kusubiri tu aje juu au kufunga kitabu chake cha maisha!
Maombi jamani kwa mgonjwa Gentamycine
 
Sikutegeme kabsa watu watoe maoni kinyume na neno critical but stable, sasa nashangaa watu wanaleta maoni na hisia zao binafsi. .

Ustarabu ni kitu cha bure kabsa hasa unapokuwa unachangia hoja ya MTU ambaye pengine hata humfahamu

Umesoma vizuri? mhuni huyo!!
 
Critical but stable .. Probability yake yakufa nikubwa. Nakuishi kwake kutategemea Mungu + mwili wake unapokea vipi huduma anazopata.
 

Maneno yanayotumiwa na hospitali kuwasiliana na jamii kuhusu hali ya mgonjwa, kama nilivyoeleza hapo awali hayana tafsiri/maana ya msingi kisayansi kwamba huwezi kuyatumia kutoa uamuzi wa kisayansi matokeo ya matibabu (kupona au kifo) anayoendelea nayo mgonjwa.

Kwamba michango ya matibabu ya mgonjwa yaendelee au la, maelezo yangu hapo juu yanajitosheleza. Mwenye moyo wa kuchangia ataendelea kufanya hivyo kama madaktari wanavyoendelea na matibu ya mgonjwa katika hali yake yoyote, wakati wote. Hapo ndipo huwa tunajiweka mikononi mwake Mwenyezi Mungu, aliye juu ya yote.
 
Mkuu ndio maana nimeweka hivyo ili wenye utaalamu wa tiba na udaktari wafafanue zaidi kwa maana najua humu jukwaani wapo na wanaweza kuelezea zaidi kiundani kwa kiswahili.
 
Na kuna Daktari mmoja alinipa Siri kubwa ya wao kupenda kuitumia hii Kauli ya Critical but Stable kwamba huwa wanaitumia sana ili kuwaandaa Kisaikolojia wenye Mgonjwa wao ili hata baadae wakiwaambia ameshafariki basi wasiwe na mshtuko mkubwa
Mpwa Kwa Jina la MUNGU aliye hai LISSU ataishi tu
 
Sasa na elimu yako ya kudownload a.k.a kupima utaweza kung'amua maana ya critical but stable....


Nchi hii ina vilaza waliotukuka
 
Kwa nini wewe mkuu unatamani kambiwa kuwa Mgonjwa anayeuguzwa Huko Nairobi ameshafariki... Utapata faida gani taarifa hiyo ukipewa? Na kwa nini unajiita Muandishi Mahiri ili hali uandishi wako unajulikana unamlenga nani? Kumbe israel ipo Duniani siku hizi tena kwa binadamu wanaojifanya kuwa ni wema... Basi kama hilo ndiyo Ombi lako basi Hongea na Acha tuendelee kumuuguza. Najua utatokwa na Povu ila kwa nini umnamuombea mwenzio Mauti...?I hate this kind of writting.....
 
mhhh kama sikuelewi kama unawish jambo baya litokee vile !haya !
Achana nae huyo mchawi hamna anachokijua zaidi ya uchawi na anataka lisu afe mgonjwa hata akiwa comma ,kwani mgonjwa akiwa comma ndio anakufa ?wangap wanapona?
 
We Sio mzima na adhma yako haitofanikiwa.
 
Huu sio upopoma!!.
Ulichokieleza nadhani kingetokea madaktari wa Nairobi wangewaeleza raia, na hilo neno namna ulivyoliuliza ungeuliza pasipo kuweka maelezo ya ujuaji wako. Wangekuja kukujibu aidha tofauti na unavyoelewa basi ungewauliza zaidi, lakini wewe uombe ufafanuzi huku unaelezea habari za kifo...wala si vyema!!. Utakuwa hutaki kujua bali unaleta ujuaji wako na hapo ndpo ujinga wako ulipolalia
 


Pamoja, mkuu, [HASHTAG]#GENTAMYCINE[/HASHTAG],

Lazima tuwaeleweshe vijana namna ya kuelewa kutofautisha mada na mukhitadha wa bandiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…