Madaktari bingwa wafariki na kuacha simanzi Arusha

Madaktari bingwa wafariki na kuacha simanzi Arusha

Poleni sana arusha, tulio salia tuchukue tahadhali maana tec nao leo wametujuza namna nimonia inavyowaondoa viongozi wetu wa kiimani
 
RIP madaktari.

Pole kwa wafiwa.

Tanzania ni nchi ambayo uwiqno wa madaktari na raia wanaowahudumia ni mbaya sana, kwa maana ya jwamba kilabdqktari mmoja anahudumia raia wengine wengi sana.

Kwa hesabu za WHO, kika Watanzania 1,000 wanahudumiwa na "madaktari" 0.04.

Maana yake, kila daktari mmoja anahudumia raia wengine 25,000.

Kwa hiyo unaposikia daktari mmoja amefariki, kuweza kuweka msiba huo vizuri katika muktadha wake, pia hesabu kwamba kama watu 25,000 wamefiwa na daktari wao, inabidi wajiunge kwa daktari mwingine na kuongeza namba ya raia wanaohudumiwa na daktari huyo mwingine.

Ukisikia madaktari wawili wamefariki, hapo ni kama watu 50,000 wamefiwa na madaktari wao, inabidi wajiunge kwa madaktari mwingine.


Mimi kuna cousin wangu mmoja aliniomba ushauri kama awe daktari au injinia, nikamshauri awe daktari bila shaka.

Nikamsomesha mpaka amekuwa daktari, tumwpunguza namba ya watu wanaomtegemea daktari mmoja Tanzania.
 
Huyo mzee hapo kwenye picha ni wa kitambo sana.

Pole kwa wote.
 
R. I. P kwa ndugu na jamaa wa jiji la arusha na kanda nzima ya kaskazini na jumuiya ya madaktari tanzania. huyu dk alikuwa ni dk muhimu sana kwa mwanangu na ni member mzuri wa hosp ya st thomas namfahamu sana huyu dk, kazi ya Mola haina makosa,
 
Sijui ndio hizo changamoto za upumuaji au kuna kitu kingine ila vifo vinafululiza mno hii Arusha...

Kuanzia Raska zone mpaka Arusha Meat pale ndani ya week 2 tu nimesikia misiba zaidi ya mitano. Na jioni hii mwingine tena yan mpaka mtu unapata woga kwenda kuhudhuria
 
Sijui ndio hizo changamoto za upumuaji au kuna kitu kingine ila vifo vinafululiza mno hii Arusha...

Kuanzia Raska zone mpaka Arusha Meat pale ndani ya week 2 tu nimesikia misiba zaidi ya mitano. Na jioni hii mwingine tena yan mpaka mtu unapata woga kwenda kuhudhuria
Jilockdown mkuu!!
 
Ma generals zaidi ya 5 wamekufa,ma sisters na ma padri! Sasa wewe unaniambia ma Drs! Hakuna corona. Na kwa tarifa yako chanjo hatitaki!
 
Daah huyo Mzee kavavila alikua mcheshi kwa watoto sana kwa kweli watu wa Arusha tumepata pigo sana na alikua anazingatia na kufatilia vipimo yeye mwenyewe hata kuwe na foleni vip ataimaliza aisee...inasikitisha sana na kutuumiza mno
 
Moshono sio mushono wapumzike kwa amani...inauma ila ndio njia yetu sote.
 
Pumzika kwa amani dk Makando uliokoa maisha yangu ulipokuwa AICC HOSPITAL
 
Sijui ndio hizo changamoto za upumuaji au kuna kitu kingine ila vifo vinafululiza mno hii Arusha...

Kuanzia Raska zone mpaka Arusha Meat pale ndani ya week 2 tu nimesikia misiba zaidi ya mitano. Na jioni hii mwingine tena yan mpaka mtu unapata woga kwenda kuhudhuria
Ukitaka kushuhudia zaidi njoo Moshi tulia maeneo ya Uchira au njia panda ya himo

Yaani majeneza yenye maiti yanasafirishwa kuelekea migombani mpaka utashangaa
 
RIP madaktari.

Pole kwa wafiwa.

Tanzania ni nchi ambayo uwiqno wa madaktari na raia wanaowahudumia ni mbaya sana, kwa maana ya jwamba kilabdqktari mmoja anahudumia raia wengine wengi sana.

Kwa hesabu za WHO, kika Watanzania 1,000 wanahudumiwa na "madaktari" 0.04.

Maana yake, kila daktari mmoja anahudumia raia wengine 25,000.

Kwa hiyo unaposikia daktari mmoja amefariki, kuweza kuweka msiba huo vizuri katika muktadha wake, pia hesabu kwamba kama watu 25,000 wamefiwa na daktari wao, inabidi wajiunge kwa daktari mwingine na kuongeza namba ya raia wanaohudumiwa na daktari huyo mwingine.

Ukisikia madaktari wawili wamefariki, hapo ni kama watu 50,000 wamefiwa na madaktari wao, inabidi wajiunge kwa madaktari mwingine.


Mimi kuna cousin wangu mmoja aliniomba ushauri kama awe daktari au injinia, nikamshauri awe daktari bila shaka.

Nikamsomesha mpaka amekuwa daktari, tumwpunguza namba ya watu wanaomtegemea daktari mmoja Tanzania.


Takwimu wakati mwingine zinavutia winoni tu.
 
Back
Top Bottom